Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni msiba wa mwaka juziM
mshana vipi tena siuko kwenye majonzi wewe? pole lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo gari kuimiliki inabidi uwe na ujasiri wa kuwa muhujumu uchumi..[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Vogue ya 2018 new modelMkuuu ni
ranger zote au kuna specific,maana kuna vogue,velar...n.k
- Hii Gari ukikaa ina sense kama umelewa
- inatumia mfumo Wa mafuta pia wese likikata unatumia chaji (ni ya kuchaji kama laptop
- ukiwa kwenye foleni ukikalibia kugonga mbeli inapunguza speed yenyewe!
- ukisinzia nayo inazima!
- usipofunga mkanda haiondoki
- ukichomoa betri ukabusti then urudishe haiwaki HADI uwasiliane na RANGE ROVER waifanyie programming
- kamera kama zote
- ukichoka inakuamsha kwa alarm
- mafuta yakikaribia kuisha inakuelekeza Petrol station iliyokaribu na wewe
- fundi akichakachua spear wakati Wa matengenezo inakuambia kwenye screen HAIWAKI
- kifaa kikimaliza mda wake Wa matumizi hata kama ni Break pad inakuambia, na break zikianza kuisha haitembei speed hata ukanyage vipi.
- Ukijamba AC inajiwasha yenyewe (automatic)
- ukikalia siti inaonesha uzito wako
- kukiwa na hitirafu inakuonesha kwenye screen
- ukipotea inayo GPS
- ukipoteza Funguo, hauchongi kariakoo, Bali unawapigia range wanakupa gharama 3mil, then wanakuelekeza ufunguo Wa akiba walipo uficha humohumo kwenye Gari yako!
- ina gia za auto na za manual
- Milango yake haifungi kwa kubamiza kama kabati, Hata ukiusukuma kwa nguvu! haupigi kelele!
Ni RANGE ROVER NEW MODEL 2018
Push to start!!
View attachment 1062571
KIUFUPI HII GARI UKIENDESHA, HALAFU UKAJA KUENDESHA HIZI GARI ZA KAWAIDA UNAWEZA FIKILI UMEKALIA KIBERENGE !!!!
hizo mambo zipo kwenye hivi viberenge lakini hii chuma hizo mambo hamna! Range rover Vogue new model 2018 ukikaa kwenye siti yenyewe inabalance uzito, na urefu! acha kabisaKingine nachopenda kuhusu modern cars ni vitu vidogo vidogo kama kumbukumbu za settings za seat...
Huwa nakereka umempa mtu gari, akikurudishia ame-adjust seat... sasa kimbembe ni kukumbuka exactly ile position yako iliyo comfortable.. kila saa unapaki pembeni unaset kiti.
Sent using LF Electromagnetic Waves
Hahahahahahabongo ukitumia GPS unaweza kuishia ziwa mwananyamala
View attachment 1062583
Na hayo mamifumo ya ku_sense sense kila kitu athari yake?
Asa ukijamba AC ya kazi gani?
Dudu la yuyuuuuuuuu ha ha ha ha ha haMkuu usiogope bei ya hio gari....ukikamatwa na trafiki inamalizana nae yenyewe wewe umetulia tu ndani unakula kiyoyozi huku unasikiliza nyimbo mpya ya baba diamond.
Kingine nachopenda kuhusu modern cars ni vitu vidogo vidogo kama kumbukumbu za settings za seat...
Huwa nakereka umempa mtu gari, akikurudishia ame-adjust seat... sasa kimbembe ni kukumbuka exactly ile position yako iliyo comfortable.. kila saa unapaki pembeni unaset kiti.
Sent using LF Electromagnetic Waves
Ndio, wewe endelea kunusa tu huko nyuma ukijashtuka asubuhi inabidi uamke na hang overHapo Kwenye ushuzi kidogo nimeachwa nyuma