Ikiwa kama maoni yetu tuliyotoa kwenye Tume Halali ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba hayakuheshimiwa, Je, yataweza kuheshimiwa maoni ya watu yanayotolewa kwenye kusanyiko hili haramu ambalo halitambuliki kisheria??? Are you serious??
Wanapoteza muda wao bure tu pampja na huyo Askofu wa Kanisa Katoliki aliyeenda kutoa maoni.