Pre GE2025 Ukienguliwa na Tume ya Uchaguzi Kugombea Urais Kata Rufaa Mahakama Kuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ikiwa kama maoni yetu tuliyotoa kwenye Tume Halali ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba hayakuheshimiwa, Je, yataweza kuheshimiwa maoni ya watu yanayotolewa kwenye kusanyiko hili haramu ambalo halitambuliki kisheria??? Are you serious??
Wanapoteza muda wao bure tu pampja na huyo Askofu wa Kanisa Katoliki aliyeenda kutoa maoni.
Inasaidia, angalia leo Askofu RC kaenda kutoa maoni yake bungeni, kelele zinasaidia sn
 
Hapana acha kukata tamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…