Mkuu embu yaweke hapa tuyajueKwanini waitoe? Yaani atakae jifanya anapekenyua simu yangu nitamrudia kama ghost nitamuwinda maisha yake yote.
Kuna magemu mengi sana nimeishia level za juu sitaki mtu ayaendeleze kisha aniaribie..
Ujinga, Hutaki kukuaWengine tuna mambo yetu ya pornhub kwenye simu tumeyaficha,
My baby mama right here.
Nitumia lock ya swipe tu ambavyo hutumii nguvu kutoa nimeweka hivyo kwajili ya dharula yeyote ambavyo inaweza kunipata muda wowote. Ukiba naifunga tu kwa email iliusisumbie watu kupitia simu yangu.
Wekeni emergency info, ambayo hata kama simu yako iko locked mtu anaweza akaona taarifa zako za kiafya na pia akaona namba zs simu za watu wako wa karibu ukipatwa na shida.Smart
Sitaki mtu aitoe... narudia tena SITAKI SITAKI SITAKI.. wachukue urithi mwingine simu yangu waiache au kama vipi waiflash kwanza kila kitu kifutike ndio waichukue
Lol,Blaza umesahau umekoment kwa, account yenye jina la kike
Siku ukijisahau tena tu imekula kwakoMe kila siku kabla sijalala nafuta browse history yote au hayo mambo nayaingia kwenye private browser.
Nishawahi kumbwa na fedhea sitaki kukumbuka. Ata nikiwa na usingizi nikikumbuka ile aibu usingizi uwa unakata.
Ukiwa na mfuatiliaji mzuri pesa zote znaptkanaSi bora simu wata flash ..
Je pesa za kwenye line.
Mie nilikuwa najiuliza ..nina line nne kati ya hzo tatu zina mihela..
Najiuliza nikifa ghafla au nikugua ukichaa nani atazitumia pesa zangu.
Hakuna anaejua password.
Kuhusu simu siwekagi any password zaid lock ya kawaida tu ku (swipe)
hahahaha!khaaaaaaaaaaaaaaaSitaki mtu aitoe... narudia tena SITAKI SITAKI SITAKI.. wachukue urithi mwingine simu yangu waiache au kama vipi waiflash kwanza kila kitu kifutike ndio waichukue
Mimi sihofii hizo video maana kwa dunia ya sasa yenye 4G kila sehemu kutunza hizo video kwenye simu ni upuuzi...Two weeks ago tulikwenda kumuona mgonjwa jirani wa rafiki yangu, tulipoingia tu mtoto mmoja akampokea simu nadhani amezoeana nao, katika kugongagonga akawa ameingia kwenye simu nadhani pin ilikuwa weak, tukiwa tunaongea na huyo jirani tunasikia video za miguno, aibu iliyoje tulikaa kama dakika 5 ikatulazimu kuondoka
Mimi sihofii hizo video maana kwa dunia ya sasa yenye 4G kila sehemu kutunza hizo video kwenye simu ni upuuzi...
Lakini kuna charting zipo whatsapp na kwenye sms siko tayari watu wazione aiseeh...