LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
- Thread starter
- #61
English ni kama kisukuma tu pale NyamanoroMpambano mkali sana but all in all English muhimu
Hujamuelewa alichokisema. Rudia kusoma upya Tena utamuelewa vizuri Wacha makasirikoKwahiyo wakienda kayumba ndio kiingereza chao kinakua kimenyooka?
Nadhani wewe na mleta mada ni mapungu au mshajikatia tamaa kwa sababu ya umasikini.