abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Akili hii ndo inajinasibu kuwa na IQ kubwa, mara unaweza kukaa meza moja mkasolve matatizo blah blah blah!!Hapa naona IQ (10) tupu inaongea, wewe ndo tunaweza kukaa meza moja hata kwenye kutafuta solution kwenye matatizo ya nchi yetu mana nafatilia sana thread zako xin mtu wa mkumbo unaongozwa na kichwa chako. ulichokisema ni kweli japo nilikuwa sifahamu hyo aina ya mitaala ila nilkuwa najiulza swali. mfano mimi nilitoka saint kayumba ya ndani kabisa nikachaguliwa kwenda vipaji maalum kwa mara ya kwanza hapo shuleni na ya mwsho kama sikosei na nikaenda kukutana na haohao wa english medium sasa mbona ni vilaza sana tena sio kwenye elimu tu mambo kibao nikajiuliza hyo faida ya kuwekeza pesa nyingi hvo af end product ndo unapata toto goigoi pia weak mindset si bora uanzishe hata mradi wa kufuga "karunguyeye' kwa ajili ya kuuzia wachina wanaozurura na wale wa mabonanza, tunahitaji mkombozi na bado hajapatika so kwa kipindi binadamu tumia akili yako ya kuzaliwa utapata majawabu mengi sana, kwanza EMs ni taasisi za kibiashara we angalia hata namna ya matangazo yao utaelewa ktu.
WASALAAM!!
Akili hii ambayo imeona watoto X waliosoma private schools ni vilaza ika-assume wote waliosoma private schools ni vilaza na haijaconsider possibility ya wale waliosoma kayumba na bado vilaza eti inaamini itatusolvia matatizo yetu kwenye hili Taifa!!! You are all delusional
Mtu anakuja na mada zake sijuwi mambo ya Prussian tf!!! Watu wamesoma kwenye system hiyo hiyo na wakafanya mambo makubwa kuliko wewe unayefanya kazi kuponda system na hakuna kitu umefanya, hizi mimi naitaga kutafuta scapegoat.
Nimesoma Kayumba ila najua utofauti kati ya shule zetu na shule nyingi za private (sio zote). Mambo ya kuelewa, kuwa best kwenye field yako etc zinadepend zaidi na wewe mwenyewe!
Tafuta hela, Acha kukaa na masikini, be positive. I assure you, utaacha kulalamikia mfumo