English ni kama kisukuma tu pale NyamanoroMpambano mkali sana but all in all English muhimu
Hujamuelewa alichokisema. Rudia kusoma upya Tena utamuelewa vizuri Wacha makasirikoKwahiyo wakienda kayumba ndio kiingereza chao kinakua kimenyooka?
Nadhani wewe na mleta mada ni mapungu au mshajikatia tamaa kwa sababu ya umasikini.
English ni kama kisukuma tu pale Nyamanoro
100% Fact.Ukitaka upate toto lenye hulka za kuku wa KISASA( BROILA) peleka huko EMS.
Mtoto anawekewa mipaka ya nini katika UMRI wake wa kufanya EXPLORATION.Yaani mtoto anachungwa analindwa utasema mboni ya jicho😂😂😂😂
Igogo🤣🤣🤣🤣
Mimi Sio mwenyeji Rock City am just guessing
Tutafute pesa blaza watoto wetu wapate vilivyo bora,tusijifarijiAccording to Kingwendu
Igogo na penyewe ni mlimani nasikia Kuna wachawi hatari
Tutafute pesa blaza watoto wetu wapate vilivyo bora,tusijifariji
Hakika mkuuNaunga mkono hoja
Mpaka sasa madogo wapo home pima hasira za jamaa zitakuwaje......Kwani mkuu mbona unahangaika sana na hii ishu?
Wewe si ulishahamisha watoto wako kupeleka kwa kayumba mbona sasa kama unatapa tapa? Si uendelee na maisha yako?
Yaani kila siku mauzi haya haya, kwani kuna mtu kakulazimisha uwarudishe EM?
Yaaani unahangaika kuliko wenye watoto EM! Nadhani so long as hawajakuomba msaada wa ada wala ushauri,we potezea tu
The most important person in any Em school is a parent who pay the fee.Tutafute pesa blaza watoto wetu wapate vilivyo bora,tusijifariji
hahahahahahahahaUmenishangaza. Kama msomi unapaswa kuwa na uwezo wa kujifunza Kwa watu wa aina zote na hali za aina zote
Kwa mfano Mimi nimejifunza hadi Kwa wachawi. Kwa wachawi nimejifunza kuwa msiri.
Wachawi huwa ni wasiri Sana na mchawi akitoa Siri huwa ana uwawa
So futa kauli yako
Wanakaa vipi home wakati wapo Kayumba?Mpaka sasa madogo wapo home pima hasira za jamaa zitakuwaje......
Halafu sasa madogo wana maneno ya shombo kwa mdingi balaa kila mdingi akiwapanga hawaelewi wanarudia "tumeambiwa tusiende shule bila bank pay slip"
Mama chanja naye full kutema nyongo
Sasa kwa hali hii lazima jamaa afya ya akili iyumbe na nyuzi lazima zifunguliwe!!
huyu atakuwa mmliki wa shule fulani ya EM.kama ulikuwa hutaki comment kilichokufanya uanzishe thread ni nini?
ungewatag ndugu zako waje watoe comments unazozipenda
Hata ya kayumba jamaa kaimudu sasa....ka vipi aseme tumuanzishie donee mambo yasiwe mengi, tumsitiri jamaa maana dah anaanzisha nyuzi kila baada ya muda mfupi mwishowe bando lake nalo likate halafu tuanze vipi mbona kapotea......kakata moto au....msongo wa mawazo mbaya.....Wanakaa vipi home wakati wapo Kayumba?
You are just talking about yourself wewe ndo watoto wako wapo nyumbani wamerudishwa ada🤣🤣🤣🤣🤣
Una waza kitoto kitoto. Basi Kwa viwango vyako vya akili yako unadhani ume impact kitu kwenye mind yangu.Hata ya kayumba jamaa kaimudu sasa....ka vipi aseme tumuanzishie donee mambo yasiwe mengi, tumsitiri jamaa maana dah anaanzisha nyuzi kila baada ya muda mfupi mwishowe bando lake nalo likate halafu tuanze vipi mbona kapotea......kakata moto au....msongo wa mawazo mbaya.....