Ukifanya hivi ndoa utakua nayo au utatamba nayo

Ukifanya hivi ndoa utakua nayo au utatamba nayo

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
 
1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
Hiyo itakua Malaika sio kunguru zetu hapa bongo.
 
FB_IMG_1730500986169.jpg
 
1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
Hapa neno haki Sawa na mwanamke anaweza yasitumike?
 
Umeandika kama utani ila huu ni uzi muhimu sana na unatoa mafunzo mujarabu kwa walio kwenye ndoa au wanaotarajia kuingia kwenye ndoa
 
Hamna formula kwenye ndoa! Watu wakishakaa wawili ndo wanajua wanaishije na ndoa yao inasurvive kwa vigezo gani. Ndoa haina kukalili kijana unaweza kufanya yote hayo na usitoboe bado
Hakuna formula ila kuna muongozo hata kwenye mpira mbakubaliana vizur leo tunacheza 4.4.2 ila mbajikuta mnapelekewa moto mpaka mnacheza 7.2 .1 dakika tisini zote
 
1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
Jidanganye ndoa haina fomula
 
1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
unazungumzia ndoa za miaka 80-95 au hawa wa 96 to 2000's kizazi cha kidigitali

yani ulivovitaja hapo kwa 70% hawa mabinti wakuolewa wa 2000's nikitu ambacho ni kigumu kwao kufanya na ukilazimisha uvione ndipo utakapo ona asili kamili ya mwanamke ( ubinafsi dharau unafki uongo n.k ) labda upate mwenye asili ya rural -kijijini- ila sio hawa wa dalesalama utalia na kubaki kuota hizo ndoto

as a man be you learn to love yourself before welcoming another person -woman- to love you akikisha unajipenda kwanza hio ni strategy yakwanza kwa mwanamke kukuelewa na kukusoma upo kwenye kundi gani -are you still a boy au are you a real man-
ndipo atakapo anza kukuheshimu by knowing your worth -thamani yako- kwamba wewe hawez kukupelekesha
 
1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
Hizi ni basics......Single mazas watapinga
 
Back
Top Bottom