Ukifanya hivi ndoa utakua nayo au utatamba nayo

Ukifanya hivi ndoa utakua nayo au utatamba nayo

1.usafi
2.nidham adabu
3.matumiz mazur ya pesa
4.jukumu lako la kwanza kumridhisha mume kwanza
5.upendo kwa ndugu wa mume
6.zawad kwa mume siku moja moja
7 kuacha kiherehere cha kimfuatilia mume mpe uhuru
8.uchapakaz
9.kuomba ruhusa kila unapotoka au kufanya jambo fulan
10.ujue kupika
Sema No 7 wanawake mjitahidi muwe nayo...msiwe kama Polisi kupelelezana na kufuatiliana kila nukta sio mpango.

Kuna jamaa Mke wake anaangalia History kwenye browser kuwa mwamba ana search nn sana mtandaoni
 
Ila tu piga chini at your own risk....

mie kwangu siondoki hata iweje yani ni "kwa mkapa hatoki mtu"

Hata akitupa begi langu nje napanda juu ya geti narudi ndani....ntavaa mashati na boxa zake
Hahahahahaaaa,wanawake wa hv mwsho wa siku mwanaume ndo unatakiwa umkimbie,
 
Back
Top Bottom