Ukifanya hivi ndoa utakua nayo au utatamba nayo

Sema No 7 wanawake mjitahidi muwe nayo...msiwe kama Polisi kupelelezana na kufuatiliana kila nukta sio mpango.

Kuna jamaa Mke wake anaangalia History kwenye browser kuwa mwamba ana search nn sana mtandaoni
 
Ila tu piga chini at your own risk....

mie kwangu siondoki hata iweje yani ni "kwa mkapa hatoki mtu"

Hata akitupa begi langu nje napanda juu ya geti narudi ndani....ntavaa mashati na boxa zake
Hahahahahaaaa,wanawake wa hv mwsho wa siku mwanaume ndo unatakiwa umkimbie,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…