Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Wale jamaa wanaoosha dada zetu miguu,kusafisha kucha na kupaka kucha rangi.
 
1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo

Acha uongo ww watu tuna kazi zetu hadi leo tunaishi...
 
wanywaji/walevi wooote... hata kama sio kazi
 
Mapasta,

wachungaji,
wainjilisti

Madokta

washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili
Wewe na nawe ni balaa, umemzidi hata mwenye uzi!
 
Back
Top Bottom