Ukifika Mabibo sokoni ndo utajua kwanini watu hawataki kuachia office

Ushuru ni dili za watu ukishangaa matope ya mabibo usisahau na mahandaki ya stand ya kimataifa ya mabasi ya Ubungo kama uwanja wa mnada wa ng'ombe na ushuru unatolewa,wangegoma kutoa ushuru wachangishane waweke miundombinu vizuri ila lzm kuwepo na tofauti kati ya third world na develop world.Ndo utalii wa ndani huo kivutio,Pesa juu ya tope au mashimo ya Ubungo stand.
 
Duuu hiyo biashara ya kuosha miguu
Ipo hata soko la Ilala nilionaga kuna watu wanafanya izo kazi,kunawa shilingi mia .........na kijana wa watu unamkuta ana madumu kama kumi ivi ameyaweka pembeni
 
Kwanini wasiweke pavement? Nadhani ndyo suluhisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…