Ukifika Mabibo sokoni ndo utajua kwanini watu hawataki kuachia office

Ukifika Mabibo sokoni ndo utajua kwanini watu hawataki kuachia office

NAWAMIGUU-MABIBO-SOKONI-2-1.jpg
Asante kwa picha, Mimi nimeshindwa kuaupload, japo nilizipiga kwa uogauoga
 
Wanajamvi,

Mimi binafsi napenda sana biashara kitu ambacho kimenifanya niwe mfuatiliaji wa mambo mbalimbali yahusuyo biashara. Nilichikiona Leo pale Mabibo soko la matunda miundo mbinu ya pale inasikitisha.

Ushawahi kuona soko lenye tope na watu wakitembea peku wakivuruga hilo tope na business zinaendelea kama kawa noti zinahesabiwa kwa wingi kama bank. Alafu ukitoka pale nje kuna biashara ya kuosha miguu mh! Dar es Salaam jamani.

Sijui ushuru unatumika kufanya kazi gani pale ni hatari sana kwa afya za watu.Nilichojifunza ni kwamba hakuna kazi rahisi hapa kwa dunia.

Karibu mjionee hasa msimu huu wa mvua, ila kule upande wa viazi ni kusafi. Naamini hawa wafanyabiashara wangeamua badala ya kutoa ushuru watengeneza miundombinu wakijichanga buku5 daily nahisi in 2 yrs pangependeza sana kama Manispaa imeshindwa kuboresha miundombinu.
safi kunawatu wanajua kuona fursa,kuosha miguu bei gani hapo
 
Mmmmmmm! Mungu apishirie mbali! Mwaka huu sijasikia sana ule ugonjwa wetu wa Kipindupindi Dsm. na kama kikilipuka mwaka huu kitakuwa na madhara makubwa kuliko miaka iliyopita.
 
Wanajamvi,

Mimi binafsi napenda sana biashara kitu ambacho kimenifanya niwe mfuatiliaji wa mambo mbalimbali yahusuyo biashara. Nilichikiona Leo pale Mabibo soko la matunda miundo mbinu ya pale inasikitisha.

Ushawahi kuona soko lenye tope na watu wakitembea peku wakivuruga hilo tope na business zinaendelea kama kawa noti zinahesabiwa kwa wingi kama bank. Alafu ukitoka pale nje kuna biashara ya kuosha miguu mh! Dar es Salaam jamani.

Sijui ushuru unatumika kufanya kazi gani pale ni hatari sana kwa afya za watu.Nilichojifunza ni kwamba hakuna kazi rahisi hapa kwa dunia.

Karibu mjionee hasa msimu huu wa mvua, ila kule upande wa viazi ni kusafi. Naamini hawa wafanyabiashara wangeamua badala ya kutoa ushuru watengeneza miundombinu wakijichanga buku5 daily nahisi in 2 yrs pangependeza sana kama Manispaa imeshindwa kuboresha miundombinu.
hapo wasipotoa kutajaa mgambo na biashara haitofanyika.
 
Wanajamvi,

Mimi binafsi napenda sana biashara kitu ambacho kimenifanya niwe mfuatiliaji wa mambo mbalimbali yahusuyo biashara. Nilichikiona Leo pale Mabibo soko la matunda miundo mbinu ya pale inasikitisha.

Ushawahi kuona soko lenye tope na watu wakitembea peku wakivuruga hilo tope na business zinaendelea kama kawa noti zinahesabiwa kwa wingi kama bank. Alafu ukitoka pale nje kuna biashara ya kuosha miguu mh! Dar es Salaam jamani.

Sijui ushuru unatumika kufanya kazi gani pale ni hatari sana kwa afya za watu.Nilichojifunza ni kwamba hakuna kazi rahisi hapa kwa dunia.

Karibu mjionee hasa msimu huu wa mvua, ila kule upande wa viazi ni kusafi. Naamini hawa wafanyabiashara wangeamua badala ya kutoa ushuru watengeneza miundombinu wakijichanga buku5 daily nahisi in 2 yrs pangependeza sana kama Manispaa imeshindwa kuboresha miundombinu.
yaani mimi nilikuwa hapo j3 jion naangalia fursa maana hilo soko ni full pesa na linavurugu mwanzo mwisho mvua ikinyesha utajuuta uwii
 
Msijali mkuu wa Mkoa wa dar atalifanyia kazi suala hilo

Ova
 
bora mkuu wa mkoa umepaona hapa maama in shida
 
Back
Top Bottom