ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima