Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.

Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.

Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Na kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Miaka 30 wee bado mtoto na hujui kitu! Angalau kuanzia 35 unaweza kusikilizwa! Salamu ya shikamoo haikuongezei wala kukupunguzia kitu katika jamii ila hujenga mahusiano mema na heshima kuthaminika na uungwana! Sasa hukute hapo mtaani kuna mzee na heshima zake na kwanafasi yake ili mambo yaende (japo si lazima) utaambiwa ebu nenda kamuone mzee fulani! Huyo mzee ndo wale above 65. Sasa wewe kichwa ngumu unampaga "mzee mambo?, vipi mzee? Kwema? Shwali?..." Inaweza kuchukulika kawaida ila ukimwendea na shida zako ujue imekula kwako! Atajiuliza!!! Huyu ndo kijana asiyeheshimu wakuu sasa anakuja nimsaidieje! Salimia wakuu kijana haikupunguzii chochote ila inakujengea uungwana katika jamii
 
Miaka 30 wee bado mtoto na hujui kitu! Angalau kuanzia 35 unaweza kusikilizwa! Salamu ya shikamoo haikuongezei wala kukupunguzia kitu katika jamii ila hujenga mahusiano mema na heshima kuthaminika na uungwana! Sasa hukute hapo mtaani kuna mzee na heshima zake na kwanafasi yake ili mambo yaende (japo si lazima) utaambiwa ebu nenda kamuone mzee fulani! Huyo mzee ndo wale above 65. Sasa wewe kichwa ngumu unampaga "mzee mambo?, vipi mzee? Kwema? Sharing?..." Inaweza kuchukulika kawaida ila ukimwendea na shida zako ujue imekula kwako! Atajiuliza!!! Huyu ndo kijana asiyeheshimu wakuu sasa anakuja nimsaidieje! Salamis wakuu kijaa haikupunguzii chochote ila inakujengea uungwana katika jamii
Kama ni watu wa jamii yako bora hata mpeane salamu za lugha ya nyumbani,, au mtafute namna nyingine ya kusalimiana.....ila hii shikamoo ni salamu ya kitumwa
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee
Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Kwanza unatakiwa ufahamu maana yake:


shikamoo


/∫ikamɔ:/


salamu ya heshima itolewayo kwa mtu aliyekuzidi umri


Swali : Wewe unawapa watu heshima???


heshima


/hɛ∫ima/


thamani ya utu


Unaelewa maana ya utu??


utu


/utu/


hali ya kuwa na tabia zinazolingana na hadhi ya mtu

Kama hauna heshima na utu basi wewe ni :


chizi


/t∫izi/


1. mtu afanyaye mambo ya kihunihuni


2.mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo


Au wewe ni :


mwehu


/mwɛhu/


mtu aliyechanganyikiwa, ambaye vitendo vyake vinafanana na vya mwendawazimu

 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
nikiamkiwaga Na Hawa pisi kali huwa salamu inanikata Sana.

Wakati mwingine nikisikia shikamoo naitikaga SALAMA KABISA.
 
Nina ugonjwa na hiyo salamu
Sijui ni siipendi? Hata sielewi… ila kunikuta na mashikamoo mimi ni nadraaa, 2/10 kwa kifupi.
Na walioleta hizi GOOD Morning Madam/ Sir, wapewe maua yao 🤣🤣

Ila sasa huku Kaskazini nimenote vitoto vinasalimia hivyo balaa. Ni tofauti na Dar, Dar unaweza pishana na katoto kimya kimya. Ila vya huku ni shwaa kamekupa shkamoo na hamjuani.
 
Back
Top Bottom