Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Naupendaga uchokozi wako...Hahaha.. Ukiwa bize Huwa nakuamkia shikamoo nikuchokozege tu ili nafurahi na nafsi yangu 🤠🤠
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naupendaga uchokozi wako...Hahaha.. Ukiwa bize Huwa nakuamkia shikamoo nikuchokozege tu ili nafurahi na nafsi yangu 🤠🤠
Unatafuta HOGO 🤣🤣🤣kidume na midevu yako unamwambia kidume mwenzio nipo chini ya miguu yako unatafuta nini.......
Hili nalo mkalitazameNaupendaga uchokozi wako...
ina maana tukikutana KWA MSOLA hautaniamkia SHKAMOO?Nina ugonjwa na hiyo salamu
Sijui ni siipendi? Hata sielewi… ila kunikuta na mashikamoo mimi ni nadraaa, 2/10 kwa kifupi.
Na walioleta hizi GOOD Morning Madam/ Sir, wapewe maua yao 🤣🤣
Ila sasa huku Kaskazini nimenote vitoto vinasalimia hivyo balaa. Ni tofauti na Dar, Dar unaweza pishana na katoto kimya kimya. Ila vya huku ni shwaa kamekupa shkamoo na hamjuani.
Jamani hii kitu ipo kwa watoto wa International school hayasalimia unasikia whats your name, ukimwambia tu VVM unasikia Hi VVMUnapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wazee mna stress sana, tutawaamkia mpk mvi zizidi kuongezeka na maeneo mengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikuhizi hawana mvi ndugu, wanapakaa mablack manywele...Yani mimi mtu ili nimpe shikamoo mpaka nione ana mvi zimajaa tele kichwani kwake
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaniNikiwa kama kijana wa miaka 30s nimelia sana.....
Shangaa na wewe, eti habari yako mama? Hawa watu ni wajinga sana. Hivi kiuhalisia na hali halisi ya sasa, shikamoo ni utumwa? Achana na maandishi na historia, talk about realitiesUngesema Sasa tuwaamkiaje wazee wetu au waliotuzidi umri za sahizi au habari au
Hiyo ilikuwa maana yao,lkn sisi ktk kiswahili chetu hatumaaanishi hivyo!tumeitohoa na kuipa maana yetuNi kweli. Ni kiarabu.
Hiyo salamu maana yake ni “Niko chini ya miguu yako”
Nadhani ilitumiwa na waarabu kwa watumwa.
Eti eeenh?Mimi sikujua hili.Kwa hiyo hata baba na mama zetu wazazi tunawapiga na "Whoooza...whoooozaa"?Au siyo?Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima