Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

Nina ugonjwa na hiyo salamu
Sijui ni siipendi? Hata sielewi… ila kunikuta na mashikamoo mimi ni nadraaa, 2/10 kwa kifupi.
Na walioleta hizi GOOD Morning Madam/ Sir, wapewe maua yao 🤣🤣

Ila sasa huku Kaskazini nimenote vitoto vinasalimia hivyo balaa. Ni tofauti na Dar, Dar unaweza pishana na katoto kimya kimya. Ila vya huku ni shwaa kamekupa shkamoo na hamjuani.
Vitoto vya dasalama vikikupa shikamoo labda kuna katukio anataka kufanya,,,,,akuombe hela au msaada mwingine ila hivihivi ngumu
 
Kwanza ni salamu ya kitumwa kwaajili ya watumwa.Kuendelea kutumia salamuu hii ni ishara kwamba tumekubali kuendelea kuwa watumwa,baada ya uhuru salamu hii ilitakiwa kufutiwa mbali.Inabidi tuache kuitumia kwani hatupo utumwani kama waarabu walivyo wafanyia mababu zetu.
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.

Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.

Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Nyie ndio mnaofanya bangi ionekane mbaya
 
Na kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?
Na kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?
Kwetu usukumani hao wote ukiwasalimia kwa kiswahili huona kama umewadharau vile, yani mara zote hupendelea kusalimiwa kwa kisukuma basi na hata kama ni mgeni bado watakufunza lugha yao tu.
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.

Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.

Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Sawa kuanzia Leo ntaacha hii tabia
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.

Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.

Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima

ELIMU ELIMU ELIMU!!!! Nchi hii ina janga la Elimu!!!!
Yaani hata kusalimia mtu ni mjadala
Salimia mtu aliye mkubwa kwako iwe miaka miwili mitatu nk (dada yako/kaka yako/ wazazi wako nk nk nk
Mtu ambaye kichwani hamnazo ndiye hupoteza muda kujadili eti salamu abc?
Kwani inakupunguzia nini????
 
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.

Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.

Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.

Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.

Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.

Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Salamu za Shikamoo ni za kitumwa.

Ndiyo maana Zanzibar watu wengine wanatumia "Cheichei" . Unasalimu "Cheichei", unajibiwa "Cheichei".

Wale wanakijua Kiswahili. Wanaujua utumwa, wanajua historia ya salamu hii ya "Shikamoo" na mizizi yake kwenye utumwa.
 
Back
Top Bottom