kumbe ilikuwa commentAisee shida ya JF mtu kaona Mada husikA ila anashindwa kukoment huko anakuja na yeye kuanzisha thread nyingine wakati angeweza kutoa maoni Kule Kule au angesubiri walahu, ipite siku kadhAa
Na kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Ni kweli. Ni kiarabu.Salam ya kishenzi tu haina maana yoyote.
Miaka 30 wee bado mtoto na hujui kitu! Angalau kuanzia 35 unaweza kusikilizwa! Salamu ya shikamoo haikuongezei wala kukupunguzia kitu katika jamii ila hujenga mahusiano mema na heshima kuthaminika na uungwana! Sasa hukute hapo mtaani kuna mzee na heshima zake na kwanafasi yake ili mambo yaende (japo si lazima) utaambiwa ebu nenda kamuone mzee fulani! Huyo mzee ndo wale above 65. Sasa wewe kichwa ngumu unampaga "mzee mambo?, vipi mzee? Kwema? Shwali?..." Inaweza kuchukulika kawaida ila ukimwendea na shida zako ujue imekula kwako! Atajiuliza!!! Huyu ndo kijana asiyeheshimu wakuu sasa anakuja nimsaidieje! Salimia wakuu kijana haikupunguzii chochote ila inakujengea uungwana katika jamiiUnapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Maana yake nipo chini ya miguu yako..- salamu ya enzi za utumwa.......kidume na midevu yako unamwambia kidume mwenzio nipo chini ya miguu yako unatafuta nini.......Salam ya kishenzi tu haina maana yoyote.
Kama ni watu wa jamii yako bora hata mpeane salamu za lugha ya nyumbani,, au mtafute namna nyingine ya kusalimiana.....ila hii shikamoo ni salamu ya kitumwaMiaka 30 wee bado mtoto na hujui kitu! Angalau kuanzia 35 unaweza kusikilizwa! Salamu ya shikamoo haikuongezei wala kukupunguzia kitu katika jamii ila hujenga mahusiano mema na heshima kuthaminika na uungwana! Sasa hukute hapo mtaani kuna mzee na heshima zake na kwanafasi yake ili mambo yaende (japo si lazima) utaambiwa ebu nenda kamuone mzee fulani! Huyo mzee ndo wale above 65. Sasa wewe kichwa ngumu unampaga "mzee mambo?, vipi mzee? Kwema? Sharing?..." Inaweza kuchukulika kawaida ila ukimwendea na shida zako ujue imekula kwako! Atajiuliza!!! Huyu ndo kijana asiyeheshimu wakuu sasa anakuja nimsaidieje! Salamis wakuu kijaa haikupunguzii chochote ila inakujengea uungwana katika jamii
mbadala wa shikamoo inapaswa kua "heshima yako"Kama ni watu wa jamii yako bora hata mpeane salamu za lugha ya nyumbani,, au mtafute namna nyingine ya kusalimiana.....ila hii shikamoo ni salamu ya kitumwa
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee
Kwanza unatakiwa ufahamu maana yake:Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
nikiamkiwaga Na Hawa pisi kali huwa salamu inanikata Sana.Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima