Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Vitoto vya dasalama vikikupa shikamoo labda kuna katukio anataka kufanya,,,,,akuombe hela au msaada mwingine ila hivihivi ngumuNina ugonjwa na hiyo salamu
Sijui ni siipendi? Hata sielewi… ila kunikuta na mashikamoo mimi ni nadraaa, 2/10 kwa kifupi.
Na walioleta hizi GOOD Morning Madam/ Sir, wapewe maua yao 🤣🤣
Ila sasa huku Kaskazini nimenote vitoto vinasalimia hivyo balaa. Ni tofauti na Dar, Dar unaweza pishana na katoto kimya kimya. Ila vya huku ni shwaa kamekupa shkamoo na hamjuani.
Nawewe ni mzee wa kutoa shikamoo hovyo hovyo?Aisee shida ya JF mtu kaona Mada husikA ila anashindwa kukoment huko anakuja na yeye kuanzisha thread nyingine wakati angeweza kutoa maoni Kule Kule au angesubiri walahu, ipite siku kadhAa
Unaongeza hapo ”mkuu” yaani heshima yako mkuu,hii ndiyo salamu yangu kwa wale ninaohisi wamenipita miaka kadhaa.mbadala wa shikamoo inapaswa kua "heshima yako"
Nyie ndio mnaofanya bangi ionekane mbayaUnapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Na kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?
Kwetu usukumani hao wote ukiwasalimia kwa kiswahili huona kama umewadharau vile, yani mara zote hupendelea kusalimiwa kwa kisukuma basi na hata kama ni mgeni bado watakufunza lugha yao tu.Na kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?
hata mimi huwa naona haiendi kabisa. imagine mama na watoto wake wote wanatoa shikamoo sehemu moja. huwa naona ni uduwanzi.Nikikutana na walionizidi sana umri ni mwendo wa kamwene, Asalam alekhu, au tumsifu yesu kristo mambo yameisha. Mtu mzima unaamkia shikamo halafu pembeni Kuna watoto.
Huu ugonjwa humu umetoa suguAisee shida ya JF mtu kaona Mada husikA ila anashindwa kukoment huko anakuja na yeye kuanzisha thread nyingine wakati angeweza kutoa maoni Kule Kule au angesubiri walahu, ipite siku kadhAa
Habari za asubuhi, mchana, jioni au usikuNa kama ni baba yako, mama yako au babu na bibi?
Zipo mvi za ukoo. Jamaa ana 20+ kichwa kimejaa mvi utasemaje hapo. Ht vipara pia wapo vijana wana 20+ solar kichwa kizima utamsalimia nae shikamoo????Yani mimi mtu ili nimpe shikamoo mpaka nione ana mvi zimajaa tele kichwani kwake
Sawa kuanzia Leo ntaacha hii tabiaUnapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
Hahaha.. Ukiwa bize Huwa nakuamkia shikamoo nikuchokozege tu ili nafurahi na nafsi yangu 🤠🤠
Salamu za Shikamoo ni za kitumwa.Unapofikisha miaka 30, wewe ni mtu mzima, a chana na Salaam ya Shikamoo.
Shikamoo inapaswa kutumia na watoto wadogo (29 below). Mtu mzima una watoto, wengine wajukuu, eti na wewe unaamkia shikamoo.
Ni aibu mtu una miaka 30 above unaamkia shikamoo. Ni kujidanganya, kujirudisha nyuma. Ni kuidanganya nafsi yako.
Miaka 30 umeona na kufanya mengi. Waache watoto wadogo waitumie shikamoo.
Utakuta mtu ana miaka 30 anamwamkia mtu mwenye miaka 40, 50, wakati wote ni wazee, ni aibu na kuidanganya nafsi kwamba wewe ni mtoto mdogo.
Miaka 30 tayari wewe ni mtu mzima
WoozaaMaza unamwamkia whoza whoza?
Bora faza unaweza kumwamkia oya niaje!