Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

Una umri gani? Na Baba na Mama wako unawasalimiaje? Vipi kuhusu Babu na Bibi achana na masela.
 
ina maana tukikutana KWA MSOLA hautaniamkia SHKAMOO?

Ntakucharaza hadi basi
 
Mimi hiyo shikamo kwangu huwaga ni kama silaha binadamu si wanapendaga heshima….mj hata nikikutana na mtu kajichokoea naona kanizidi umri namtandika shikamo yake akiwa kaka shikamo braza sister,mama au baba kwani shingapi [emoji3][emoji3]basi wanaonaga rahaa wenyewee na binafsi huwa inanifungulia mlango wa mawasiliano na mahusiano na msaada kwa haraka sana
 
Jamani hii kitu ipo kwa watoto wa International school hayasalimia unasikia whats your name, ukimwambia tu VVM unasikia Hi VVM
 
Yani mimi mtu ili nimpe shikamoo mpaka nione ana mvi zimajaa tele kichwani kwake
Sikuhizi hawana mvi ndugu, wanapakaa mablack manywele...

Ila utaona tu sura imeporomoka...

NB: Mkubwa apewe salamu yake.
 
nimeacha hiyo salamu nikiwa 22yrs
 
Ungesema Sasa tuwaamkiaje wazee wetu au waliotuzidi umri za sahizi au habari au
Shangaa na wewe, eti habari yako mama? Hawa watu ni wajinga sana. Hivi kiuhalisia na hali halisi ya sasa, shikamoo ni utumwa? Achana na maandishi na historia, talk about realities
 
Mimi niko na 30 26 ananiambia shkamoo asee ni huzuni kwakweli
 
Sipendi kusalimia maana watu wako kama hawataki kusalimiwa,ukikaaa kimya shida ukisalimia shikamooo hawataki,Sasa wanataka nini?
 
Ni kweli. Ni kiarabu.

Hiyo salamu maana yake ni “Niko chini ya miguu yako”

Nadhani ilitumiwa na waarabu kwa watumwa.
Hiyo ilikuwa maana yao,lkn sisi ktk kiswahili chetu hatumaaanishi hivyo!tumeitohoa na kuipa maana yetu
 
Eti eeenh?Mimi sikujua hili.Kwa hiyo hata baba na mama zetu wazazi tunawapiga na "Whoooza...whoooozaa"?Au siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…