Ukifikisha miaka 35 jitahidi uanze kuwekeza katika biashara ambazo zina risk ndogo.

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uanze kuwekeza katika biashara ambazo zina risk ndogo.

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Wakuu habari .

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uwekeze ktk biashara ambayo Ina risk ndogo .

Mfano ,anza kufikiria kuhusu real estate business, Kama kuwa na Lodge za kupangisha ,mashamba na mifugo.

Pia anza kufikiria kuhusu Passive income na kuwekeza katika teknolojia zaidi .

Maana at the age of 35+ ukipoteza hela zako kuja kukaa sawa itakuchukua miaka mingi.


Mimi mzee wangu father at the age of 30s alikuwa na Nyumba mbili katika viwanja tofauti na ardhi pamoja na Gari la biashara .

Ila lile gari ameshapoteza ambeki na Nyumba tatu na kiwanja kimoja.

So tujithidi kuwa makini katika uwekezaji doesn't make sense Una miaka 40+ bado unauza duka la mangi la kupima mchele robo



Na Kama unafanya Kazi za kimasikini Kama ualimu ,upolisi na n.k

Jatufa wataalamu wa maswala ya pesa na uwekezaji wakupe mawazo .
 
Wakuu habari .

Ukifikisha miaka 35 jitahidi na biashara ambayo Ina risk ndogo .

Mfano ,anza kufikiria kuhusu real estate business, Kama kuwa na Lodge za kupangisha ,mashamba na mifugo.

Pia anza kufikiria kuhusu Passive income na kuwekeza katika teknolojia zaidi .

Maana at the age of 35+ ukipoteza hela zako kuja kukaa sawa itakuchukua miaka mingi.


Mimi mzee wangu father at the age of 30s alikuwa na Nyumba mbili katika viwanja tofauti na ardhi pamoja na Gari la biashara .

Ila lile gari ameshapoteza ambeki na Nyumba tatu na kiwanja kimoja.

So tujithidi kuwa makini katika uwekezaji doesn't make sense Una miaka 40+ bado unauza duka la mangi la kupima mchele robo



Na Kama unafanya Kazi za kimasikini Kama ualimu ,upolisi na n.k

Jatufa wataalamu wa maswala ya pesa na uwekezaji wakupe mawazo .
Mmh wa bongo buana unataka kila mtu awe kama baba ako loh!!! Wewe una ulimbukeni wa pesa au bado wewe ni kitoto chini ya miaka 25, watu wana maliza shule na miaka 35, kuja kupata ajira ya kwanza ana 40+ watu na elimu yao uwakili, udakitari, nurse nk wana miaka 50 hata kiwanja hawana bado wanangaika na kusomesha watoto,,.......wewe unaona baba ako kua na nyumba mbili kijijini kwenu ndo unaona alitoboa maisha mapema.
 
Wakuu habari .

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uwekeze ktk biashara ambayo Ina risk ndogo .

Mfano ,anza kufikiria kuhusu real estate business, Kama kuwa na Lodge za kupangisha ,mashamba na mifugo.

Pia anza kufikiria kuhusu Passive income na kuwekeza katika teknolojia zaidi .

Maana at the age of 35+ ukipoteza hela zako kuja kukaa sawa itakuchukua miaka mingi.


Mimi mzee wangu father at the age of 30s alikuwa na Nyumba mbili katika viwanja tofauti na ardhi pamoja na Gari la biashara .

Ila lile gari ameshapoteza ambeki na Nyumba tatu na kiwanja kimoja.

So tujithidi kuwa makini katika uwekezaji doesn't make sense Una miaka 40+ bado unauza duka la mangi la kupima mchele robo



Na Kama unafanya Kazi za kimasikini Kama ualimu ,upolisi na n.k

Jatufa wataalamu wa maswala ya pesa na uwekezaji wakupe mawazo .
Naunga mkono hoja 100%%
 
Wakuu habari .

Ukifikisha miaka 35 jitahidi uwekeze ktk biashara ambayo Ina risk ndogo .

Mfano ,anza kufikiria kuhusu real estate business, Kama kuwa na Lodge za kupangisha ,mashamba na mifugo.

Pia anza kufikiria kuhusu Passive income na kuwekeza katika teknolojia zaidi .

Maana at the age of 35+ ukipoteza hela zako kuja kukaa sawa itakuchukua miaka mingi.


Mimi mzee wangu father at the age of 30s alikuwa na Nyumba mbili katika viwanja tofauti na ardhi pamoja na Gari la biashara .

Ila lile gari ameshapoteza ambeki na Nyumba tatu na kiwanja kimoja.

So tujithidi kuwa makini katika uwekezaji doesn't make sense Una miaka 40+ bado unauza duka la mangi la kupima mchele robo



Na Kama unafanya Kazi za kimasikini Kama ualimu ,upolisi na n.k

Jatufa wataalamu wa maswala ya pesa na uwekezaji wakupe mawazo .
Tatizo bongo watu wanakomaa na vi-ajira hadi 40+ ndo wanastuka kuanza kuwekeza, game la kuwekeza anza ukiwa kijana na wakati moyo wako una uwezo wa kuhandle vizuri pressure na suprises, shida hio ability muda huo ujanani wanaitumia kuhandle pressure na suprises za mapenzi tu
 
Nina miaka 78. Bado nauza kwa mangi. Nina furaha na nimeridhika tu yaani.

Ulichosema kina ukweli ila nijuavyo mimi haya mambo hayana fomyula. Na miaka 35 kwa mifumo ya Kitanzania hii ni ngumu sana kwa vijana kuwa na assets za maana - hata kwa wale wanaopambana. Cha muhimu tu angalia hatua unazopiga na kuwa mwangalifu na matumizi yako ya pesa. Wekeza hata katika vibiashara vidogo vidogo ukiweza...na hatua utaziona. Na kamwe usijilinganishe na age/classmates wako. Run your own race.

Ni hayo tu kwa sasa!
 
Back
Top Bottom