WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Pole sana ila ukweli ndiyo huo.Kamuulize baba yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ila ukweli ndiyo huo.Kamuulize baba yako.
Oneni na huyu mjinga wahed, hebu niambie ni lini tuliacha kuwa watumwa wa wazungu? You got to be stupid or crazy to make such nonsensical statement. Ukweli mchungu ni kuwa tutakuwa watumwa wa mtu mweupe hadi kiama and that its whether we like it or not!Wewe unataka kuwafuata wazungu wanavyosema ?Utakuwa ni mtumwa wao siku zote
Jpm aliwajaza ujinga eti tunaweza kuwa donor country ,ni mjinga tu aliyeshangiliaOneni na huyu mjinga wahed, hebu niambie ni lini tuliacha kuwa watumwa wa wazungu? You got to be stupid or crazy to make such nonsensical statement. Ukweli mchungu ni kuwa tutakuwa watumwa wa mtu mweupe hadi kiama and that its whether we like it or not!
Kitu gani tunacho cha kumtisha mtu mweupe? Kitu gani tunacho ambacho akikitaka mtu mweupe tutamzuia kukichukua iwe kwa heri au shari? Kitu gani tunacho ambacho ni cha thamani kiasi kwamba tutafaidika nacho bila pesa za mtu mweupe?
Tulivyo wajinga, wapo ambao watanilaani na kunitukana, kisa! Ndivyo tulivyo...! Tunapigana vita vya kiuchumi, tunapambana na mabeberu. Kama desturi yetu hatukujifunza chochote toka vita vya maji maji...akili bado ni zile zile za mababu na mababu, WTF! Jioni njema!
Tulishapata uhuru hatutaki upumbavuTutakuwa tegemezi mpaka lini?!
Kisa kuogopa kufa….kufa kupo…kila mtu ana sababu yake kuwepo hapa duniani…akishatimiza anasepa
Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi ilitutoboe…tunahitaji kiongozi jasiri kupitiliza Magufuli…na watanzania tukubali maumivu…tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…
Nanda Chato kachimbe kaburi lako kariba na magufuli ili akuteue uwe DC wa wilaya ya kuzimuTutakuwa tegemezi mpaka lini?!
Kisa kuogopa kufa….kufa kupo…kila mtu ana sababu yake kuwepo hapa duniani…akishatimiza anasepa
Tanzania tunahitaji mapinduzi ya kiuchumi ilitutoboe…tunahitaji kiongozi jasiri kupitiliza Magufuli…na watanzania tukubali maumivu…tatizo tunataka kujenga nyumba huku tunakula bia…haiwezekani…
Ni mada moja ya kipuuzipuuzi tu hii!Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.
Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.
Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.
Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.
Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.
Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.
Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Wengi hawajakuelewa. Mimi nimekuelewa likewiseHii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.
Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.
Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.
Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.
Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.
Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.
Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Again, The white man's God, got offended and therefore, the God's wrath got to them. Ha Ha ha I get it. 1000% sure, that you have never paid any taxes in Tanzania ever or in your life.....
Modus Ponens
But how is that the same God could not, as you sing it "God save the Queen' and the same God could not return your stolen votes?? Oh old (god)mighty, where art you?
No correlation whatsover amongst the people you've mention.
Modus tollendo.
Clearly you are not thinking staright, angry, disapponted and most probable Hungry and suffering from Skizoh frameya....and no its not a typo.
Again, The white man's God, got offended and therefore, the God's wrath got to them. Ha Ha ha I get it. 1000% sure, that you have never paid any taxes in Tanzania ever or in your life.....
Modus Ponens
But how is that the same God could not, as you sing it "God save the Queen' and the same God could not return your stolen votes?? Oh old (god)mighty, where art you?
No correlation whatsover amongst the people you've mention.
Modus tollendo.
Clearly you are not thinking staright, angry, disapponted and most probable Hungry and suffering from Skizoh frameya....and no its not a typo.
Dah kiinglish hikiAgain, The white man's God, got offended and therefore, the God's wrath got to them. Ha Ha ha I get it. 1000% sure, that you have never paid any taxes in Tanzania ever or in your life.....
Modus Ponens
But how is that the same God could not, as you sing it "God save the Queen' and the same God could not return your stolen votes?? Oh old (god)mighty, where art you?
No correlation whatsover amongst the people you've mention.
Modus tollendo.
Clearly you are not thinking staright, angry, disapponted and most probable Hungry and suffering from Skizoh frameya....and no its not a typo.
Nina siku nimekutana ba uzi wenye mantiki kama huu, heko kwa kuwaza vyema.Jamaa yetu utadhani alikuwa akiongoza familia yake au kana kwamba wazazi/babu zetu walimwachia hilo jukumu.Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo kupitiliza,hii nchi ni kubwa sana na ina wahuni wengi sana. Nyerere na Magufuli walipitiliza.
Ishi viziri na wazungu, huwezi kushindana na wazungu, Mzee Ruksa na JK walilijua hili. Usiwe mnoko sana kazini. Chunga mdomo wako, fanya mambo yako kimya kimya, ongea inapobidi.
Nchi sio ya baba yako utaondoka utaiacha, play your party, utakapokomea waachie wengine wamalizie.
Usiponde watangulizi wako. Kula bata, maisha ndio haya haya, Nyerere alikuwa anashindia mihogo, JPM alivyoingia Ikulu tu akatimua wapishi binafsi eti atapikiwa na mama yetu kipenzi mama Janeth.
Kiongozi yeyote ukifuata haya huenda ukaongeza siku mbili tatu za kuishi kinyume chake hutoboi.
Mandela mwenyewe alilijua hili, alipotoka jela wala hakujenga bifu na wazungu japo walimfunga mbuzi wale ila aliwasamehe, na alikula bata sana uzeeni. Miundombinu unayoiona South Africa mingi ilijengwa kipindi cha Kaburu.
Mwisho kabisa, usiwe mkweli sana, have some sort of hypocrites
Kakuambia nan?Kifo kiliumbwa ili kuna kifo ambacho mtu akifa jamii hufurahi mfano Putin akifa leo Ukrain watafurahi na vita vitaisha siku hiyo hiyo na asilimia kubwa ya Warusi watapumua.