Ukifuatilia kesi ya Nawanda kwa ukaribu utaona kabisa alitengenezewa zengwe. Viongozi chukuweni tahadhari, mahasimu wako kazini!

Bado haimeki sensi, kama hakuwahi kufanyiwa hivyo ingekuwa timbwili, labda kama lilishakuwa limtalo hapo ningekubali.
 
Kumbuka Nawanda Ni MTU mzima halafu kaingiza kwenye sumaku fresh.
Dakika tatu Ni nyingi Sana kwenye sumaku bro. Ndio maana matajiri wanataka huko huko tu.
Nasema hivi, kama alimuingilia kabla ya hiyo siku nakubali lakini ukiangalia hiyo time line na picha zilivyoonyeshwa huo ni uongo.
 
Lakini ukimsikiliza binti, na ushahidi uliotolewa wa picha za video na timeline, alivyoingia ndani ya gari, na muda aliotoka, ndio alidai alifanyiwa hicho ambacho hakupenda kufanyiwa.
Huo ni uongo.
 
Dah. Hadi vioo vya gari kuvunjwa? Nini tena tumuulize huyo binti; kwamba mbona hakutumia silaha ya meno yake kuzuia asibakwe. aonyeshe ni wapi alipopiga teke la nguvu kujitetea!
 
Kwenye cross-examination inaweza kuwa kazi. Alijua walikuwa wameshakofofishana, kwa madai yake, kwamba huyo mkuu ali'propose' kumwingilia hivyo mara ya mwisho kukutana, lakini yeye akakataa. Kwa nini alipoitwa alikwenda tena kuonanana naye na kukubali kuingia ndani ya gari? Na kwa nini, kama unavyosema, hakupiga yowe, na alitoka kimya kimya hadi kwenda kumwambia mama yake? Kwa nini asingeomba msaada akiwa kwenye tukio. Kama alitishiwa akiwa ndani ya gari na akaogopa kupiga kelele, kwa nini alupotoka nje hakupiga kelele au kuomba msaada? Haya ni baadhi ya maswali ninayojiuliza.
 
Una uhakika na version hiyo ya story?

Mbona una judge kwa maneno ya pande moja tu?
 
Ndani ya CCM kuna mambo mengi sana ya ajabu.
 
Inahitaji muda gani kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile?
 
Kwangu mimi wacha maccm yamalizane tu
 
Yaani unaona dakika 19 ni chache mtu kubakwa? Hebu kuwa na huruma!
 
Ni kweli walikuwa na mahusiano....maadui wakatembea humo humo ila ndio mkome viongozi msiotaka kuachana tabia zenu chafuchafu
 
nilishasema siku nyinyi Dk Nawanda ni mtu smart...kuna zengwe kubwa..afu kanyooka
 
i sec u
 
yile binti ni muongo..sijui anapata faida gani kujiexpose mitandaoni kuingiliwa kinyume..argh
 
Unaijua wewe njia ya haja kubwa!? Yaani hiyo ya kwako ipo wazi kiasi kwamba mtu anaweza kukuingilia kirahisi kama mtu anaingia getini??

Halafu umezingumza vizuri kwamba Bariadi to Mwanza ni km 200; kwahiyo umbali wote huo anafuata jicho la huyo Binti tu? Huko Bariadi na hata pale njiani Magu hakuna Majicho?

Hiyo ni vita tu ya kisiasa kati ya Mwenye Jimbo Mathew Kido na Masanja Kadogosa ambaye ni rafiki wa Nawanda a.k.a Mzee wa Jicho!!

Kumbuka chama kinachoongoza Kwa Fitina Duniani ni CCM
 
mkuu unapajua bariadi?? pamekaa kishamba..hiyo sio hoja
 
Acheni kutetea ujinga kiasi hicho, bora kunyamaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…