Umefumaniwa eeh! Mbona tone yako ya kujitetea sana!!Mimi huwa na washangaa sana baadhi ya wanawake yaani unajua kabisa wanaume wana tamaa wana tamani mpaka vichaa cha ajabu mtu una mfumania mumeo unakuja kuangaika na mwanamke mwezio
Mwana mke anafwata bibi ee ujui ana ambiwa nini na mumeo pambana na mumeo lakini sio mchepuko
Umeshamfumania mara ngapi mzee baba?Mimi huwa na washangaa sana baadhi ya wanawake yaani unajua kabisa wanaume wana tamaa wana tamani mpaka vichaa cha ajabu mtu una mfumania mumeo unakuja kuangaika na mwanamke mwezio
Mwana mke anafwata bibi ee ujui ana ambiwa nini na mumeo pambana na mumeo lakini sio mchepuko
Survival for the fittest[emoji23]Wanawake wajinga huhangaika na michepuko badala ya ku deal na waume zao, Sasa na wee mke ka ulitongozwa na meenzako naye katongozwa na ana k ka wewe.
Hafu wanawake wengine hawajiamini hata ukipendeza ukapita akiwa na mumewe, mumewe akikuangalia ana kuchukia huo si ujinga, dah Mimi mwanaume nilimuelewa napita naye kule upige simu au lah.
Hata akivaa....akishahonga basi[emoji23] kosa ni letu wote wawiliA
ahah kukubali sio shida wanaume walio oa hamvai pete
Naanza Kwanza na source afu namalizia na mume nyumbaniHayo maumivu peleka kwa mumeo sio kwa mchepuko