Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Mara zote hizo ulimuuliza anafuataga nini kwa michepuko?Mh mara tatu ila nilikaa kimya nika mpa igizo moja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara zote hizo ulimuuliza anafuataga nini kwa michepuko?Mh mara tatu ila nilikaa kimya nika mpa igizo moja tu
Ndio hivo ngumu binadamu kuridhika na kitu mojaSurvival for the fittest[emoji23]
Kwani huo mwanao Hadi uumie si kiungo chake kwanini uumie na matumizi ya mwili wake jamaniMnajua maumivu ya kumuona mume anachepuka au mnaropoka tu,
Wenye shepu zenu mnawatesa sana wanawake wenzenu😅😅Wanawake wajinga huhangaika na michepuko badala ya ku deal na waume zao, Sasa na wee mke ka ulitongozwa na meenzako naye katongozwa na ana k ka wewe.
Hafu wanawake wengine hawajiamini hata ukipendeza ukapita akiwa na mumewe, mumewe akikuangalia ana kuchukia huo si ujinga, dah Mimi mwanaume nilimuelewa napita naye kule upige simu au lah.
Yamekukuta nini huko?Mimi huwa na washangaa sana baadhi ya wanawake yaani unajua kabisa wanaume wana tamaa wana tamani mpaka vichaa cha ajabu mtu una mfumania mumeo unakuja kuangaika na mwanamke mwezio.
Mwanamke anafwata bibi ee ujui ana ambiwa nini na mumeo pambana na mumeo lakini sio mchepuko.
[emoji28][emoji28]na tunachukiwa bila sababu na wanatuhisi vibaya so ili kukamilisha hisia zao heri tupite nao moja Kwa moja Yani ni keroWenye shepu zenu mnawatesa sana wanawake wenzenu[emoji28][emoji28]
Nilimisi koments zako za kibabe na kutojali vitu vidogo😅😅😅Kwani huo mwanao Hadi uumie si kiungo chake kwanini uumie na matumizi ya mwili wake jamani
Cheza kwa step lakini[emoji23] usivimbe kichwa[emoji23]Ndio hivo ngumu binadamu kuridhika na kitu moja
Mbio mbio kanikimbilia(mumeweo)Naanza Kwanza na source afu namalizia na mume nyumbani
Hili swali lao huwa nalishangaa sana. Mchepuko anatoa hadi tigo yeye mke ataweza?Utasikia umekosa nini kwangu? Wakati hatoi huduma kwa mume wake
Fambafu yamekukuta😂😂😂Mbio mbio kanikimbilia(mumeweo)
Akaniomba mapenzi*2Namii nami nikamringia Nikaona nikaona hayawezi. Kumbe kumbe amenikamiaKanizingua kanizingua kichiziNami nikamridhia*2
Kila kitu LA azizi
Nikamwambia chukua upendacho LA azizi...Kwa yangu makashkashi
Aliingia uchizi.*2Alihamisha mataki Alipojaa njozi*2Nikampa nikampa mishkaki.Na chai ya tangawizi*2
Aliniambia sichoki(mie)
Siogopi fumanizi*2
Mambo kama haya hakuna namna
[emoji23][emoji23]ananyoa na vuziHili swali lao huwa nalishangaa sana. Mchepuko anatoa hadi tigo yeye mke ataweza?
Aaah wapi nilikutakaga kipindi unatafuta wa kukutoa hamu na kauzi chako miaka ilee.....uliringa fambafu sako😂😂Na kutaka ww sasaivi 😂😂
Mmmmbwa wewe😂Hili swali lao huwa nalishangaa sana. Mchepuko anatoa hadi tigo yeye mke ataweza?
Sex ni sehemu ya maisha huwezi ikwepa...nilipo hapa nina hamu balaa😂Jf watu wanapenda ma story ya sex sex..