Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwe serious sasa tutawahudumia.Aya mtuhudumie ipasavyo
Stay online tomorrow, nina kitu cha kukupa kesho.Ilo limepita bila kupingwa
Kivipi?Mh una angalia na mume mwenyewe kwaza
Lisingo maza hiliWanawake wajinga huhangaika na michepuko badala ya ku deal na waume zao, Sasa na wee mke ka ulitongozwa na meenzako naye katongozwa na ana k ka wewe.
Hafu wanawake wengine hawajiamini hata ukipendeza ukapita akiwa na mumewe, mumewe akikuangalia ana kuchukia huo si ujinga, dah Mimi mwanaume nilimuelewa napita naye kule upige simu au lah.
Asikugande ili upate muda wa kuwachuna madanga mengine au?M
ume wa mtu awe pedeshe awe anae jua majukumu ya familia yake asikugande kila mda asiwe papatu papatu
Kula kibunda chake mpe shoo ya maanaMume wa mtu akija ujue akupendi huyo ni wakushare nae penzi basi
Utajiuza mpk lini ww dada kwa waume za watuUmeona ee nipe hag [emoji847][emoji847]
Hili swali lao huwa nalishangaa sana.
Mchepuko anatoa hadi tigo yeye mke ataweza?
AwoooteeeeeS
ijawai tembea na mume wa mtu labda wewe utakuwa wakwaza