Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Kwa mfano nikikerwa suluhu yangu ni kujifungia ndani na kujumlisha changamoto na magumu yote niliyopitia katika maisha yangu niliee weee mpaka moyo usuzike baada ya hapo nitakavyoanza kucheka na kufurahi na mwenzangu ni kama si yeye aliyenikwaza,ila kama sijafanya ivo ujue siku hiyo nimeamua kutema cheche mdomoni mpaka mhusika haja ndogo imbane ghafla.
Kwa upande wake yeye nikimkera anaondoka kwenda zurura huko arudi baadaee,na asipoondoka utasikia kilio cha mbwa huko nje...yaan anamtafutia kosa mbwa wangu apate kumbutua tu.Je wenzangu mkikerwa na wapenzi wenu huwa mnamaliza vp?
Kwa upande wake yeye nikimkera anaondoka kwenda zurura huko arudi baadaee,na asipoondoka utasikia kilio cha mbwa huko nje...yaan anamtafutia kosa mbwa wangu apate kumbutua tu.Je wenzangu mkikerwa na wapenzi wenu huwa mnamaliza vp?