Ukighadhibishwa unafanyaje kupunguza hasira yako?

Ukighadhibishwa unafanyaje kupunguza hasira yako?

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Kwa mfano nikikerwa suluhu yangu ni kujifungia ndani na kujumlisha changamoto na magumu yote niliyopitia katika maisha yangu niliee weee mpaka moyo usuzike baada ya hapo nitakavyoanza kucheka na kufurahi na mwenzangu ni kama si yeye aliyenikwaza,ila kama sijafanya ivo ujue siku hiyo nimeamua kutema cheche mdomoni mpaka mhusika haja ndogo imbane ghafla.
Kwa upande wake yeye nikimkera anaondoka kwenda zurura huko arudi baadaee,na asipoondoka utasikia kilio cha mbwa huko nje...yaan anamtafutia kosa mbwa wangu apate kumbutua tu.Je wenzangu mkikerwa na wapenzi wenu huwa mnamaliza vp?
 
Walking away from the scene.

Sijuagi kugombana so I simply walk away.

Nikikaa Sawa nitakuambia umekosea hapa na hapa then tunakaa Sawa maisha yanaenda.

Ila sometimes I wish ningeweza kutembeza kichapo Cha kijeshi.
 
Walking away from the scene.

Sijuagi kugombana so I simply walk away.

Nikikaa Sawa nitakuambia umekosea hapa na hapa then tunakaa Sawa maisha yanaenda.

Ila sometimes I wish ningeweza kutembeza kichapo Cha kijeshi.
usije ukajaribu utang'oka meno
 
Kwa mfano nikikerwa suluhu yangu ni kujifungia ndani na kujumlisha changamoto na magumu yote niliyopitia katika maisha yangu niliee weee mpaka moyo usuzike baada ya hapo nitakavyoanza kucheka na kufurahi na mwenzangu ni kama si yeye aliyenikwaza,ila kama sijafanya ivo ujue siku hiyo nimeamua kutema cheche mdomoni mpaka mhusika haja ndogo imbane ghafla.
Kwa upande wake yeye nikimkera anaondoka kwenda zurura huko arudi baadaee,na asipoondoka utasikia kilio cha mbwa huko nje...yaan anamtafutia kosa mbwa wangu apate kumbutua tu.Je wenzangu mkikerwa na wapenzi wenu huwa mnamaliza vp?

Ukute anaenda kwa mchepuko kutulizwa mtima, mwenzetu unafikiri kaenda kuzurura.

Ila mtu mzima anayepiga Mbwa huwa simwelewi kabisa, nachukulia kama ni mtu katili. Be ware sis
 
Ukute anaenda kwa mchepuko kutulizwa mtima, mwenzetu unafikiri kaenda kuzurura.

Ila mtu mzima anayepiga Mbwa huwa simwelewi kabisa, nachukulia kama ni mtu katili. Be ware sis
Ha ha haa,nimecheka sentensi ya mwisho balaa
 
Mimi nikimkasirikia mtu kama kanikosea kweli huyo mtu anapata madhara ... sielewi ikoje..
Ni kama nna powers fulani hivi unexplainable na nikimuonea mtu napata madhara..
Ha ha haa,unamwadhibu vikali?
 
Naenda kukesha kiwanja narudi asubuhi.
Au natafuta kazi yeyote naanzakufanya, nikikosa vyote hapo nafungulia mziki kwa sauti kubwa😀😀
 
Back
Top Bottom