Ukighadhibishwa unafanyaje kupunguza hasira yako?

Ukighadhibishwa unafanyaje kupunguza hasira yako?

Hiv ni tz tu ndio kuna viongozi wapumbavu hiv ama ata nchi nyingne napo wapo? Ata alie mpa hichk cheo nae alikuwa ana mapungufu ya akili nahis
Mshkaji ana nyodo balaa
 
Mi huwa nafarijika na video za mama Samia na kujisemea moyoni "ama kweli Mungu yupo na nib mjuzi"
Kiukweli mama samia ni mtamu sana...yaan mimi nimepata hamasa kubwa kwamba nikiamua naweza
 
Back
Top Bottom