Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mfano nikikerwa suluhu yangu ni kujifungia ndani na kujumlisha changamoto na magumu yote niliyopitia katika maisha yangu niliee weee mpaka moyo usuzike baada ya hapo nitakavyoanza kucheka na kufurahi na mwenzangu ni kama si yeye aliyenikwaza,ila kama sijafanya ivo ujue siku hiyo nimeamua kutema cheche mdomoni mpaka mhusika haja ndogo imbane ghafla.
Kwa upande wake yeye nikimkera anaondoka kwenda zurura huko arudi baadaee,na asipoondoka utasikia kilio cha mbwa huko nje...yaan anamtafutia kosa mbwa wangu apate kumbutua tu.Je wenzangu mkikerwa na wapenzi wenu huwa mnamaliza vp?
Heh! Yaani unipige sio?Ila sometimes I wish ningeweza kutembeza kichapo Cha kijeshi.
Si ni swali linauliza nikighadhibishwa nafanya nini?Mada iliyopita mkuu
Thats maturityNakaa kimya, naendelea na mambo mengine, hasira zikiisha napiga story tena....
Hiv ni tz tu ndio kuna viongozi wapumbavu hiv ama ata nchi nyingne napo wapo? Ata alie mpa hichk cheo nae alikuwa ana mapungufu ya akili nahis
No. Wewe siwezi. 🤣Heh! Yaani unipige sio?
Mke hanaga shida, mtu mnaishi nae kila siku unashindwaje kutafuta namna ya kuishi nae. Tuna strategies zetu za kudeal na wake zetu.Ndo mkeo sasa mkuu