Ukighadhibishwa unafanyaje kupunguza hasira yako?

 
Nachukua mswaki wake, naenda kusugulia sink la choo mpaka hasira ziishe afu natulia kmyaaaa as nothing happened.
 
Nachukua mswaki wake, naenda kusugulia sink la choo mpaka hasira ziishe afu natulia kmyaaaa as nothing happened.
Aisee,bora unipige tu nitajiuguza
 
Inategemea na mtu aliniuzi ni nan kwangu.
nakaa mbali nae had akili iwe sawa baadae maisha yanaendelea kama kawaida nitamwambia siku nyingne kuwa aliniuzi.
Au ninatafta mtu ninae mpenda namuomba kuonana nae tunapiga story had nakuwa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…