Ukigombana na Clouds FM ina maana umengombana na wafanyakazi wake? Maana B dozen sijamuelewa

Ruby ana haki yake na maamuzi yake huwezi kumtembeza nchi nzima Fiesta huku malipo unapanga wewe, sidhani kama anajuta, maana nyimbo zake zinapigwa East Africa Radio, EFM na zingine.
KUMBE WEWE NAWE UNAFAHAMU RUBY UNAWAFAHAMU WATU WENGIN MKUU
HUJAITWA NAWE CENTA HAHAHAAAAA
 
Waya umehit? Au maana ya kuhit imebadirika siku hizi?
 
Vita imeisha maana mshindi kashindwa na mshindwa kashinda tusubiri ya kipeku ya kijungumweku riha yake imewakinai walafi
 
Waya umehit? Au maana ya kuhit imebadirika siku hizi?
Ndio waya umehit. Au we husikilizagi redio na kuangalia tv??

Ama gonna halaaa at ya ×2
Excuse miss
can i have ur number×2
 
mfano kuna siku dj alicheza ile track ya Ali Kiba na Lady JD 'single boy' verse ya JD iliondolewa walipoicheza hii ngoma.
 
Mambo mengi sana ni yakijinga ila ukiyaanzisha Dar yanavuma, clouds vipindi vingi ni vya ajabu ajabu sana wana vipindi vyakueleweka vichache sana.
 
MTV wametoa majina ya wasanii 50 wa kuwaangalia sana kwa mwaka 2017.kati ya wasanii hao Tanzania kuna wasanii wanne ambao ni RUBY,BILLINASS,BEN POL na RAYVAN.ajabu la kwanza kwenye 255 jamaa hajamtaja Ruby.na kwenye Twitter B dozen hakutaka kummention Ruby,what is this? Mbona wanakuwa na chuki kiasi hiki?kwamba ukigombana na kampuni basi umegombana na wafanyakazi wake pia?kwamba Kampuni inawafuatilia hadi kwenye maisha yao binafsi? Usishangae kukuta hata wakionana hawasalimiani hawa kisa tu redio ambayo ni ya mtu mwingine,shame on em
 
huyu si hua wanasema shosti?

hawatabiriki hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…