kafika wapi kama ukonyimbo zake znapgwa ....Ruby ana haki yake na maamuzi yake huwezi kumtembeza nchi nzima Fiesta huku malipo unapanga wewe, sidhani kama anajuta, maana nyimbo zake zinapigwa East Africa Radio, EFM na zingine.
Unakataa fiesta kwa pesa kidogo alafu unaenda kupga show kwenye baa kwa SH150000clouds ni Wanyonyaji wenye vinyongo wanaobebwa na dola
Umetumwa si bure.Unakataa fiesta kwa pesa kidogo alafu unaenda kupga show kwenye baa kwa SH150000
Mkuu upo nje ya mada plzmtu unamtoa alafu anapita kwenye radio mbali mbali anakutuc nakuongea kejeli juuyako alaf anataka nymbo zake zpgwe ....aaaawacha aimbe singeri mpaka anjooke
Kafika mbali mkuu,na ndio mana.MTV wamemuonakafika wapi kama ukonyimbo zake znapgwa ....
..uyo mtt kazngua naatanyooka
Hapo mwisho umezinguaHivi ulikuwa haujui kuwa Ruby alishazinguanaga na hao clouds.
Walishagombana na nyimbo zake hazipigwi tena pale wala yeye hatajwi na hata jingle alizofanya hazipigwi tena.
Ruby kajidai na yeye ni Kama komando Jide. Nadhani huko aliko kinachompata anakijua mwenyewe kwa sasa.
Maana clouds sio watu wa mchezo mchezo. Wana mchango mkubwa sana kwenye music tapa tanzania. Angalia watu kama akina joh makini wanatoa nyimbo mbovu kama huu WAYA lakini wimbo ume hit.
Well said mkuu kama hujaelewana na mtu siyo kuanza kwenda unamtangaza wakati kesho unataka nyimbo zako zipigwe kwenye radio anayoisinamia.Ruby alivyozingua faster wakamtengeneza Nandy
- Kikwete ana msemo wake kuwa ukitaka kula lazima uliwe, kibiashara tafuta tu Win-Win situation, ukitaka haki sana dunia hii hakuna utakachopata maana hata haki yenyewe ni kitu kisichokuwepo duniani
- Msimwome Diamond pale kadhalilika, katumikaa, katumiwaa - kwasasa kawa na kiburi kwasababu kashajenga Empire ambayo kimuziki haepukiki , kwahiyo hata Mamanager wake na media wanamchukulia tu kama mfanyabiashara mwenzao na siyo msanii tu. Diamond na wasanii wake hawashiriki matamasha ya Clouds, na wanaandaa ya kwao - hili Clouds hawalipendi ila ndo hivyo Diamond kashakuwa na nguvu. Hata EATV hawaelewani na WCB lakini wanapiga nyimbo zao na interviews kibishi tu maana hata EATVAwards hawakushiriki na zilikosa mvuto , so huwezi jua wafadhili Voda na Coca ambao balozi wao ni Diamond pia wanaweza kujitoa
- Na hata kama hujaridhika na umekosana na mtu usiwe mzungumzaji sana, kaa tu kimya au kataa kistaarabu - Ukiwa kidomo domo utaisoma namba
Ila ndio anajifunza - Huwa namwona yuko karibu sana na Diamond na hata WCB huwa wanamkubali sana, isingekuwa biff lake na Clouds wangekuwa washamchukua - watu wote wanapenda faida, kama watu wanakuona huna faida hakuna atakayekutaka. Clouds hawana biff yoyote na mtu ila huwa ni maslahi tu, arudi aombe msamaha then hata Label nyingine zitakuwa huru kufanya nae kazi - ukichukulia Kwamba Ruby ni mzigo - anajua tu kuimba, hajui kutunga - ana safari ndefuWell said mkuu kama hujaelewana na mtu siyo kuanza kwenda unamtangaza wakati kesho unataka nyimbo zako zipigwe kwenye radio anayoisinamia.
Yah wasafi wanamkubari na yeye anawakubari sana sema nadhani shida kwa sasa kumchukua itakuwa kazi halafu nilisikia said fella anasema hata hataki kumsikia maana alileta pozi kipindi cha kutengeneza wimbo wa ya moto band waliomshirikishaIla ndio anajifunza - Huwa namwona yuko karibu sana na Diamond na hata WCB huwa wanamkubali sana, isingekuwa biff lake na Clouds wangekuwa washamchukua - watu wote wanapenda faida, kama watu wanakuona huna faida hakuna atakayekutaka. Clouds hawana biff yoyote na mtu ila huwa ni maslahi tu, arudi aombe msamaha then hata Label nyingine zitakuwa huru kufanya nae kazi - ukichukulia Kwamba Ruby ni mzigo - anajua tu kuimba, hajui kutunga - ana safari ndefu
Millard mwenyewe simwelewi wal sijaona huo ubora wake. Pia simwelewagi kwenye upande mwingineUkimtoa Millard Ayo pale wote waliobaki hakuna lolote kazi kupanua vinywa maneno yanatoka
Huo ndio ukweli mkuuHapo mwisho umezingua
Huyo dogo nidhamu yake bado siyo nzuri, ana kiburi sana na kujifanya mwanaharakati sana wa haki - wakati hata haki sidhani kama anajua maana yakeYah wasafi wanamkubari na yeye anawakubari sana sema nadhani shida kwa sasa kumchukua itakuwa kazi halafu nilisikia said fella anasema hata hataki kumsikia maana alileta pozi kipindi cha kutengeneza wimbo wa ya moto band waliomshirikisha
KwakoHuo ndio ukweli mkuu
Mambo mengi sana ni yakijinga ila ukiyaanzisha Dar yanavuma, clouds vipindi vingi ni vya ajabu ajabu sana wana vipindi vyakueleweka vichache sana.
Mimi nipo kwenye hii industry nelewa mdogo wanguKwako
Lakini hivyo vipindi mnaendelea kuvisikiliza huku mkija jf mkijifanya hamsikilizi wakati mnajua hata majina ya vipindi watangazaji pamoja na jingles zao na yanayoendelea mjengoni.Kweli kabisa. Nilidhani ni mimi tu ninayeonaga vipindi vya clouds ni unpleasant.
Majina ya vipindi na jingles zao huwa vinasound ridiculous. Mfano hiki cha saivi kinachoitwa mapenzi mubashara...really????
Yani mtu na akili zake kakaa akatunga jina la kipindi la hivyo?