Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Ukigombana na Mkeo, akaenda kwao; USIENDE wala Usimtafute

Mkuu samahani kwa heshima kabisa nikuambie kuwa uliyoandika ni fasihi andishi. Mtu anaitwa Mke ni habari nyingine tofauti kabisa.

Mwanaume atakayefuata wazo lako kuna mambo matatu yatampata:
1. Sonona
Heshima ya Magu ni zaidi ya Nyerere am telling you
 
Ukitaka ujue athari yake, njoo pm nitakueleza kinagaubaga.

Kutawaliwa na Mwanaume ndio nature ilivyo. Utake usitake.
Sema lazima ujiulize anayekutawala ni mwanaume wa dizaini gani maana wanaume hawalingani mama mlivyo Wanawake.

Mtu anaweza kuwa Mwanaume lakini ukawa umemzidi akili na hekima, huyo hawezi kukutawala. Lakini haimaanishi usitafute mwanaume wa kukutawala mwenye vigezo unavyovitaka.

Dini zote kubwa, na hata tamaduni karibia zote Duniani zinakutaka uwe chini ya utawala wa mwanaume. Hilo sio ombi ni Lazima.

Biblia inasema hivyo, Quran nayo ni vivyo hivyo, na hata Mila zetu zinasema hivyo.
Labda wewe unambie ni kabila gani

Kutokutaka kutawaliwa ni ishara ya kiburi na jeuri Kwa nature uliyotwaliwa kwayo.
Na kikawaida nature inatabia ya kukuadhibu ukienda kinyume nayo.

Kusema huwezi kutawaliwa na Mwanaume ni Dalili kuwa umeshindwa kutambua na kuona Wanaume wenye sifa za kukutawala ambao ninauhakika wapo.

Mwisho: Usipende kushindana na nature, itakugharimu pakubwa, mbaya zaidi itagusa na watoto wako pia.
Nina ushahidi katika hili

Njoo pm nitakueleza Jambo muhimu.
Sio kila mwanamke kazaliwa kutawaliwa na mwanaume, na sio kila mwanaume kazaliwa kutawala mwanamke.
Sometimes nature inabadilika.

Ndo mana unaona hadi siku hizi viongozi wa juu nchi/duniani ni wanawake pia tofauti na zamani ambapo mwanaume alikuwa mtawala kwa kila kitu.

Mwanamke alikuwa ni mtu wa kuumia na kutawaliwa tu lakin kizazi cha sasa kimekataa.
 
Sio kila mwanamke kazaliwa kutawaliwa na mwanaume, na sio kila mwanaume kazaliwa kutawala mwanamke.
Sometimes nature inabadilika.

Ndo mana unaona hadi siku viongozi wa juu nchi/duniani ni wanawake pia tofauti na zamani ambapo mwanaume alikuwa mtawala kwa kila kitu.

Mwanamke alikuwa ni mtu wa kuumia na kutawaliwa tu lakin kizazi cha sasa kimekataa.

Nature haibadiliki Mkuu. Kila kitu kipo Kama kilivyo.

Mwanamke ambaye hajaumbwa kutawaliwa ni Wale walioumbwa kuwa kama chombo cha STAREHE Kwa wanaume wengi. Wengi huitwa Malaya au Makahaba.

Hakuna mwanamke yeyote Duniani ambaye atakuwa na heshima Kama asipokuwa chini ya MWANAUME.

Kuhusu viongozi,
Mwanamke anaweza kuwa kwenye kiti cha utawala Kama Urais au Umalkia lakini kamwe hawezi kuongoza yeye Kama yeye pasipo wanaume kuwa nyuma yake.

Lakini wanaume ni watawala hata pasipo kuwa na wanawake nyuma Yao.

Mwanamke alikuwa ni mtu wa kuumia kutokana na ujinga wao na ujinga wa jamii Kwa kushindwa kuchagua mwanaume wa kumtawala.

Kuchagua Mtawala inahitaji hekima kubwa Sana.

Hata sasa hivi wanawake wanateseka na wataendelea kuteseka Kwa sababu wengi hufikiri kila mwanaume anauwezo WA kuwaoa/kuwatawala. Jambo ambalo sio Kweli.

Mwanamke pasipo Mtawala ni Sawa na Mwanadamu pasipo na Mungu.

Ni Sawa na mwanadamu aseme hataki kutawaliwa na Mungu Jambo ambalo haliwezekaniki.
Labda mwanadamu achague mungu wa kumtawala lakini sio kusema hawezi kutawaliwa na MUNGU.

Ndivyo nature ilivyo.
 
Hamna mahali ambapo nimesema sijaolewa.
Ubabe Ubabe ndo sipendagi,
Heshima utapata lakini Ubabe wako tupa kule

Mwanaume mbabe ni Yule asiyetumia akili na hekima.

Ubabe ni mtamu ukimpata mwanaume halisi, ambaye anautumia ubabe Kama Pilipili kwenye nyama choma au Dagaa Rosti na ugali.

Ubabe ni Kama Pilipili kwenye mboga, isizidi wala isipungue
Ubabe lazima utumike Kwa Asilimia 10% Ila akili na hekima 90%.

Mwanaume bila kaubabe anapoteza sifa ya kuwa Mwanaume na anapoteza ule uromantiki Kama dume.

Wanawake hupenda Kupendwa na kudekezwa,
Hupenda kusikilizwa lakini sio kusikilizwa Kwa kila kitu.

Wanawake ni viumbe WANAOPENDA kuishi Kwa kumtega mwanaume kuona atafanyaje, na sio kosa kwani ni kawaida Yao kumpima mwanaume anaakili kiasi gani, au hekima kiasi gani ya kuamua Jambo.

Wanawake anaweza kufanya Jambo Fulani akijua ni Baya ili tuu akuone utamkaripia au kutumia ubabe kumkataza, usipomkaripia na kumletea ubabe atakuona humpendi 😀😀.
Ukimletea ubabe atanuna Kwa muda huku akijua yeye ndiye kakosea mwishowe atataka umbembeleze😊😊.

Ukimbembeleza, utakuwa umefaulu mtihani wake.

Kuleta ubabe wakati mwingine Kwa mwanamke ni ishara ya kumjali na kumpenda.

Ubabe ambao Wanawake hawaupendi ni ule yeye yupo sahihi alafu mwanaume kakosea lakini mwanaume anakomalia msimamo wake licha ya kuwa amekosea. Hapo ndipo wanaume wengi wanapopishana na wake zao.

Ndio maana niliandika, mwanaume ni AKILI. Nikasema kabla hujaoa jifunze kuwa na Akili, na kabla hujawa Baba jifunze kuwa Mtawala
 
Neno samahani au nisamehe ni dawa na tiba kwenye mahusiano yote hapa duniani..Muungwana akikosea uomba samahani..kama unapeleka zawadi mbadala wa msamaha hiyo ni rushwa tu kumpumbaza mtu huyo asione kosa lako..
Asante kwa mtizamo wako mkuu

Ndio maana ya mitizamo yenyewe🙏
 
Usije washauri wenzako hivi ww hitendi kwa kweli usipo tenda ulaaniwe
 
Hamna mahali ambapo nimesema sijaolewa.
Ubabe Ubabe ndo sipendagi,
Heshima utapata lakini Ubabe wako tupa kule
Lakini ukweli ni kwamba hujaolewa madam[emoji2957][emoji2957]
 
Mwanaume mbabe ni Yule asiyetumia akili na hekima.

Ubabe ni mtamu ukimpata mwanaume halisi, ambaye anautumia ubabe Kama Pilipili kwenye nyama choma au Dagaa Rosti na ugali.

Ubabe ni Kama Pilipili kwenye mboga, isizidi wala isipungue
Ubabe lazima utumike Kwa Asilimia 10% Ila akili na hekima 90%.

Mwanaume bila kaubabe anapoteza sifa ya kuwa Mwanaume na anapoteza ule uromantiki Kama dume.

Wanawake hupenda Kupendwa na kudekezwa,
Hupenda kusikilizwa lakini sio kusikilizwa Kwa kila kitu.

Wanawake ni viumbe WANAOPENDA kuishi Kwa kumtega mwanaume kuona atafanyaje, na sio kosa kwani ni kawaida Yao kumpima mwanaume anaakili kiasi gani, au hekima kiasi gani ya kuamua Jambo.

Wanawake anaweza kufanya Jambo Fulani akijua ni Baya ili tuu akuone utamkaripia au kutumia ubabe kumkataza, usipomkaripia na kumletea ubabe atakuona humpendi [emoji3][emoji3].
Ukimletea ubabe atanuna Kwa muda huku akijua yeye ndiye kakosea mwishowe atataka umbembeleze[emoji4][emoji4].

Ukimbembeleza, utakuwa umefaulu mtihani wake.

Kuleta ubabe wakati mwingine Kwa mwanamke ni ishara ya kumjali na kumpenda.

Ubabe ambao Wanawake hawaupendi ni ule yeye yupo sahihi alafu mwanaume kakosea lakini mwanaume anakomalia msimamo wake licha ya kuwa amekosea. Hapo ndipo wanaume wengi wanapopishana na wake zao.

Ndio maana niliandika, mwanaume ni AKILI. Nikasema kabla hujaoa jifunze kuwa na Akili, na kabla hujawa Baba jifunze kuwa Mtawala
Tema madini wakuelewe hawa
 
Nature haibadiliki Mkuu. Kila kitu kipo Kama kilivyo.

Mwanamke ambaye hajaumbwa kutawaliwa ni Wale walioumbwa kuwa kama chombo cha STAREHE Kwa wanaume wengi. Wengi huitwa Malaya au Makahaba.

Hakuna mwanamke yeyote Duniani ambaye atakuwa na heshima Kama asipokuwa chini ya MWANAUME.

Kuhusu viongozi,
Mwanamke anaweza kuwa kwenye kiti cha utawala Kama Urais au Umalkia lakini kamwe hawezi kuongoza yeye Kama yeye pasipo wanaume kuwa nyuma yake.

Lakini wanaume ni watawala hata pasipo kuwa na wanawake nyuma Yao.

Mwanamke alikuwa ni mtu wa kuumia kutokana na ujinga wao na ujinga wa jamii Kwa kushindwa kuchagua mwanaume wa kumtawala.

Kuchagua Mtawala inahitaji hekima kubwa Sana.

Hata sasa hivi wanawake wanateseka na wataendelea kuteseka Kwa sababu wengi hufikiri kila mwanaume anauwezo WA kuwaoa/kuwatawala. Jambo ambalo sio Kweli.

Mwanamke pasipo Mtawala ni Sawa na Mwanadamu pasipo na Mungu.

Ni Sawa na mwanadamu aseme hataki kutawaliwa na Mungu Jambo ambalo haliwezekaniki.
Labda mwanadamu achague mungu wa kumtawala lakini sio kusema hawezi kutawaliwa na MUNGU.

Ndivyo nature ilivyo.
Uko sahihi kabisa Robert Hariel
 
MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE

Anaandika Robert Heriel.

Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu. Nikisemacho ni kweli tupu. Wala sisemi haya Kwa maslahi yangu, au ya mtu yeyote Yule. Nazungumza mambo ambayo ni kweli kabisa.

Na ujumbe huu usomwe na wangu wote. Mnisikie na kuyafuata ninayoyasema, Kwa maana maneno yangu yamepimwa na kuthibitika kuwa hayana madhara kwenu.

Kabla hujaoa jifunze kuwa Mwanaume. Niliwahi sema, mwanaume ni AKILI.
Kabla hujawa Baba jifunze kuwa Mtawala.
Na ili uwe Mtawala yakupasa uwe na hekima na busara. Pia uwe na maamuzi yasiyo yumba(uwe na msimamo).

Kitu kikubwa Kwa Baba ni Heshima, mwanaume Bora hulinda heshima yake kuliko kitu chochote. Yupo tayari kupoteza vyote lakini sio kupoteza heshima yake Kama Baba. Ndio maana Baba bora ni rahisi kufukuza mke na watoto pale anapoona heshima yake IPO hatarini.
Mwanaume anayepuuza heshima yake na kujali vitu vingine anapoteza sifa ya kuitwa Baba.

Mwanaume aliyeiva kamwe hawezi sumbuliwa na Mwanamke. Mwanaume ili asumbuliwe na mwanamke na hapa nazungumzia mke wake sharti aongozwe zaidi na Hisia pasipo Akili. Na siku zote mwanaume anayeongozwa na Hisia huyo sio mwanaume halisi.
Kama nilivyosema hapo juu. Mwanaume ni AKILI. Sio ajabu kwenye maandiko waliposema ishini na wake Kwa Akili.
Tafsiri yake ni kuwa pasipo akili heshima ya mwanaume ipo mashakani.

Baba ni jina kubwa. Baba hakosei. Na hapa namaanisha Baba aliyejifunza kuwa Mtawala.
Ikiwa Baba hakosei, tafsiri yake Baba haombi Msamaha.

Baba kuomba msamaha tafsiri yake hajielewi, hakujua alichokuwa anakifanya, Baba sharti awe na msimamo hata Kama wengine watamuona anakosea. Huyo ni Baba. Baba hapaswi kuwa kigeugeu.

Tuna Baba wawili, Baba WA kweli, ndiye MUNGU muumba wa mbingu na Nchi. Na yupo Baba wa uongo ndiye Ibilisi.
Ibilisi Kama Baba mpaka Leo anaamini yupo sahihi, licha ya wengi kuona alikosea. Ubaba ndio upo hivyo. Unapaswa uwe na msimamo. Ikiwa Baba unapaswa kuwa na msimamo basi yakubidi kabla yakufanya maamuzi yoyote lazima utumie akili ili ufanye uchaguzi uliosahihi kwako.

Ikiwa mwanamke ambaye ataitwa/utamuita Mkeo mkakosana, iwe Kwa sababu yoyote Ile, iwe wewe ndiye chanzo cha ugomvi au yeye ndiye chanzo cha ugomvi. Akaondoka kukimbia kwenda kwao pasipo wewe kumfukuza,
Akaenda kwao wakamlaki Kwa sababu ni mtoto wao, wakijua walimuozesha kwako,lakini wakampokea,
Kamwe usijeenda kumchukua, wala USIMTAFUTE, wala usitake Suluhu naye.

Utamhesabia siku saba za mwanzo, ikiwa hajakutafuta, utamhesabia siku Saba zingine, ikiwa hatajishusha, mhesabie siku saba zingine mpaka zifike siku 28, asipokuja achana naye kabisa wala usihesabu tena siku.


Ikiwa atarudi kabla hata ya mwezi Kuisha utampokea, kisha utampa barua awapelekee wazazi wake, waandikie na Fidia kadiri utakavyoona kulingana na siku alizokaa, na utoe onyo kuwa kama tabia hii itajitokeza wakati mwingine, barua hiyo itahesabika Kama sehemu ya onyo la mwisho, hivyo akirudi basi mtoto wao utampa talaka.
Ikiwa watashindwa kulipa fidia waambie asirudi wakae naye, au wanaweza kumuozesha na barua hiyo itahesabika Kama talaka kwani sababu utakuwa umeziorodhesha.

Mwanamke kuondoka nyumbani pasipo iidhini ya Mumewe ni kosa tosha la kumfukuzisha kwenye nyumba yako, isipokuwa Kwa sababu zinazohatarisha usalama wake kama kupigwa na mumewe ikiwa ni Wale wanaume vichwa maji. Na hapa kupigwa namaanisha kupigwa haswa sio Yale makofi mawili matatu ya kuonywa.

Mwanamke anapokimbilia kwao na akapokelewa na wewe ukaenda kumchukua ni dalili kuwa utawala wako umepinduliwa na sasa wewe mama Mtawala hauko utawalani.
Mwanamke kama itatokea akaona sababu ya kukimbia nyumbani kwako basi itampasa akimbilie kwenu, yaani Kwa Mama yako au Baba yako(akimbilie ukweni).
Hiyo ndio Heshima.

Na ndio maana ya wewe kuoa na kumuita huyo ni Mkeo. Lakini sio jitu umelioa likufanyie mapinduzi, ati uende ukalichukue kwao, hiyo kamwe haiwezi fanywa na Mwanaume aliyefunzwa akawa Mtawala Kama ilivyosilika ya mwanaume.

Mwanaume haweziitwa kikao ukweni akaenda, isipokuwa ukweni wanauwezo wa kuwasiliana na Familia ya Mkwe wao(mwanaume aliyeoa binti Yao), kisha wazazi wa mwanaume waitishe kikao, kisha upande wa kiukeni ualikwe Kama wageni na watoe malalamiko Yao.

Ikiwa utakiuka na kukaidi maneno haya basi utajikuta katika taabu ambayo hukupaswa uipitie.

Wanawake wengi ukienda kuwachukua kwao, hugeuka Mateso kwako hapo baadaye, huwa wajeuri, lazima wakupelekeshe kwani wanajua kabisa kuwa huwezi ishi pasipo wao.
Nimeshuhudia haya Kwa sehemu kubwa, nimejionea Kwa macho yangu na kuyafanyia tathmini hivyo maneno yangu yamepimwa yakathibitika.

Jifunze kukaza roho kabla ya kuitwa Baba. Jifunze kufanya maamuzi magumu kabla ya kuitwa Mume. Baba ni Cheo ambacho anastahili mtu mwenye maamuzi magumu. Ubaba Kwa sehemu hauhitaji kuwa na huruma hata kidogo.

Mwanamke akienda kwao Kama hamna hata mtoto mmoja mwambie akae huko huko asirudi. Kama mtakuwa na walau mtoto mmoja kuendelea unaweza mfanyia subra Kama nilivyoeleza hapo juu ya siku 28 yaani kabla mwezi mwingine haujaandama awe karudi, Kama hajarudi fukuza. Wala usimsikilize yeyote.

Baba hasikilizi yeyote isipokuwa akili yake na namna ya kulinda heshima yake. Hakuna cha serikali, hakuna cha mchungaji sijui Sheikhe, hakuna cha wazazi. Linapokuja suala la heshima yako kama Mwanaume usimsikilize yeyote Yule.

Usiponisikiliza;
Kila siku utaenda kujidhalilisha ukweni kuomba omba misamaha Kama Juha,
Kujiliza Liza Kama Paka ukweni ati kisa mwanamke asiyejielewa.
Mwanamke akijua kuwa akikimbia kwao utamfuta atakuwa hata kitu kidogo kakimbia kwao, sijui nini kwao,

Usihudhurie vikao ambavyo havina msingi wowote.
Mpaka wanakuozesha binti Yao waliridhishwa na kuwa wewe ndiye utakayemsimamia na kumhudumia mtoto wao.

Nafahamu kuna watu watanipinga, Hilo sitalijali na ninalitarajia.
Kuna watu watasema kuwa ninadada au nitazaa watoto wakike, Ndio ni kweli; mashemeji zangu na wakwe zangu WA baadaye utaratibu ni huo nilioutoa.

Kama nitakupa binti yangu akaleta upuuzi wa kukukimbia, Kwanza sitampokea, lakini kama atapata njia mbadala ya kwenda Kwa watu wengine. Fukuza na nitakupongeza na kukuona wewe ulistahili kumuoa mwanangu.

Lakini binti nimekupa alafu kakukimbia alafu unaleta pua yako kwangu, hakika nitakutoa nduki na panga mchana kweupe.

Be a Man not like a man.

Nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mwanaume aliyelishwa madawa ndio anaweza kwenda kinyume na maelekezo yako mkuu
 
Ukitaka ujue athari yake, njoo pm nitakueleza kinagaubaga.

Kutawaliwa na Mwanaume ndio nature ilivyo. Utake usitake.
Sema lazima ujiulize anayekutawala ni mwanaume wa dizaini gani maana wanaume hawalingani mama mlivyo Wanawake.

Mtu anaweza kuwa Mwanaume lakini ukawa umemzidi akili na hekima, huyo hawezi kukutawala. Lakini haimaanishi usitafute mwanaume wa kukutawala mwenye vigezo unavyovitaka.

Dini zote kubwa, na hata tamaduni karibia zote Duniani zinakutaka uwe chini ya utawala wa mwanaume. Hilo sio ombi ni Lazima.

Biblia inasema hivyo, Quran nayo ni vivyo hivyo, na hata Mila zetu zinasema hivyo.
Labda wewe unambie ni kabila gani

Kutokutaka kutawaliwa ni ishara ya kiburi na jeuri Kwa nature uliyotwaliwa kwayo.
Na kikawaida nature inatabia ya kukuadhibu ukienda kinyume nayo.

Kusema huwezi kutawaliwa na Mwanaume ni Dalili kuwa umeshindwa kutambua na kuona Wanaume wenye sifa za kukutawala ambao ninauhakika wapo.

Mwisho: Usipende kushindana na nature, itakugharimu pakubwa, mbaya zaidi itagusa na watoto wako pia.
Nina ushahidi katika hili

Njoo pm nitakueleza Jambo muhimu.
Mkuu nakubaliana nawe kwenye hili
 
Mbona kama unatumia Njia ngumu ku-solve matatizo madogo.

Unatumia kila Njia kulinda heshima Yako bila kujali hisia za wengine huo ni ubinafsi
Unarudi kule kule. Tofauti ya kufanya maamuzi kwa kutumia hisia na kutumia akili.

Tumefika hapa kwasababu tuliruhusu kutumia hisia badala ya akili.
 
Na mwanamke akishapata kijihela

Kazi nzuri mshahara nzuri,uchumi kwake mzuri

Mwanaume hesabu maumivu

Na ukishamuwezesha mwanamke imekula kwako

Ova
Maumivu yatakuja kama utaruhusu atumie mamlaka yako kufanya maamuzi magumu. Unatakiwa kama mwanaume unayejitambua mwanamke kuwa na kipato isiwe ajenda muhimu kwako maana hata wenyewe ndani ya nafsi zao wanajua hawapotayari kutumia pesa zao kama vile sisi wanaume tunavyotumia zetu.

Bali wanachotakiwa kujua ni kwamba mwanaume anabakia kuwa mwanaume na mwanamke anabakia kuwa mwanamke period. Hizo discussion zingine za usawa ni irrelevant na hazina mashiko hata kidogo.
 
Nakazia.
Kama umeongelea kabisa kisa cha jamaa angu mmoja,
Yy alikuw anamfata mkewe kwa mamamdogo wake alipokuw anakimbilia,
Akifika huko anajiliza kibwebwege mke anarudi,
Sasa hivi ni kama mke kamuacha kbs.
Kati ya makosa tunayofanyaga wanaume ndo hayo....mwanamke ukimfata ndo anakufanyia desturi na unadharaulika,akitishia kuondoka mpe na nauli kabisa na unakaa kimya....badae utanishukuru..
 
Back
Top Bottom