kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
mnaoongea ivi mnapelekagwa hatariMaisha yangu yote nilikataa Habar ya kutawaliwa na mtu anaeitwa mwanaume, napenda twende sawa hutaki pita na mia,
Kwani nini bwana weee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaoongea ivi mnapelekagwa hatariMaisha yangu yote nilikataa Habar ya kutawaliwa na mtu anaeitwa mwanaume, napenda twende sawa hutaki pita na mia,
Kwani nini bwana weee
Huyo hatoshi kuitwa Mwanamume Bali ni mwanauume. Pili kaolewa na hastahili kuitwa Baba. Umesema anaitwa Mario sio Baba.Ukiona mwanaume anam chase mwanamke jua tu kuwa mwanamke ni potential sana kwa mustakabali wake.
Aidha ana akili za kimaisha sana na ana upepo wa pesa ama anamiliki mali nyingi zaidi ya mume ikiwemo nyumba mnayoishi![emoji23] Unakuta mafanikio mliyo nayo ame play part kubwa lazma kidume alegeze masharti.
Kwahio hili bandiko ni kwa wanaume wa shoka ambao wamehodhi mali kwa jasho lao! Akina Marioo huwa wanafukuzwaga na mabegi tu so lazima wajikombeleze
Playing dead is one of the technique that may earn you another dayMkuu samahani kwa heshima kabisa nikuambie kuwa uliyoandika ni fasihi andishi. Mtu anaitwa Mke ni habari nyingine tofauti kabisa.
Mwanaume atakayefuata wazo lako kuna mambo matatu yatampata:
1. Sonona
2. Aibu
3. Kudharaulika hata akifariki
Kweli kuishi na mke kunahitaji akili na busara, ila sio ubabe. Nitakuonesha jambo lakujifunza.
Playing dead is one of the technique that may earn you another day
Tuseme mfano Magu ni baba sisi ni watoto na Samia ndio alikuwa mama yetu. Kwa mambo yalivyo sasa hali ya familia na historia ya baba yetu ipoje?
Hii dhana yako ndio ile ile ya marehemu baba yetu Magu. Na ukweli mchungu hii dhana haifai kuongozea familia.
Utashangaa wale wanaowacheka na kuwaita wanaume wenzio dhaifu ndoa na familia zao zinateketea alafu wale wanaoitwa dhaifu ndoa na familia zao zinastawi.
Ni hayo tu Mkuu.
Mkuu Robert!Haya uliyoyaandika ni kama vile umepitia misingi yangu na wewe umecopy na kupest huku.Hakika nimekuwa nikiheshimika na familia nzima za ukweni kwangu kwa misimamo kama huu.Na mpaka sasa nina wake wawili na wala sina hofu yoyote.Kama utatumia hisia ni kweli utakutwa na hayo uliyoyasema,
Mwanaume ni AKILI.
Kabla hujaoa jifunze kuwa Mwanaume, yaani kutumia zaidi kuliko hisia. Usiitumie moyo.
Pengine hujui maana ya Mtawala ndio maana unaleta mambo ya Sonoma, aibu na kudharaulika.
Linapokuja suala la heshima lazima lipaganiwe Kwa nguvu zote pasipo kujali matokeo
Mkuu Robert!Haya uliyoyaandika ni kama vile umepitia misingi yangu na wewe umecopy na kupest huku.Hakika nimekuwa nikiheshimika na familia nzima za ukweni kwangu kwa misimamo kama huu.Na mpaka sasa nina wake wawili na wala sina hofu yoyote.
Mambo ni mserereko tu na hakuna stress kabisaaaa,ili mladi tu pesa iwepo.Hapo kwenye mke wa pili [emoji868][emoji868][emoji868]
Nakubali mkuu huo ndio uanaume
Mi Nina principal Moja ngumu kidogo ni kama yako mkuu. Kabla cjaoa nilimwambia wife kabisa. Cku tumegombana kwa namna yoyote ukaenda kwenu hakutakuwepo kikao wala cntakuja kwenu. Kwasababu ninaamin mpaka umeenda kwenu ni kwamba umekimbia moto hapa so umeenda sehem tulivu kupumzika. Ni kama vile nikukute unakunywa sumu aisee ckunyang'anyi nakuacha unywe tukakuzike ukapumzike coz ndio ur wishes.