<br />heheeh ntadumisha upendo na nitafurahia sana! hapo itakuwa hakuna mzinga wa vocha wala hakuna kufeki yale mambo yetu. Halaf unamshtua tu sasa hivi geuka shosti wa JF anageuka, enhee geuka Rose1980 anageuka, geuka Dena Amsi anageuka. Unajishtukizia ushalamba JF nzima mpaka mods wenye jinsia ya ke.<br />
<br />
Ushanipandisha mzuka, Mkuu naomba contact za hilo jini.
<br />
<br />
halafu na wewe nina mashaka sana juu yako, huwa nahisi umeumbwa kwa moto
Sikimbii wala nini!namwambia kesho njoo na bilioni kwa ajiri yangu ili niamini kama we jini.....akija nazo namshauli tufungue biashara yeye atakaa dukani na mimi nitakua naenda china......tena fremu nzuri poale mtaa wa kongo ndio zinalipa..........nahama tandika naamia chanika tujichane.............akipata mimba tunaenda kutoa kwa docta liwa........
mkuu avatar yako inanikumbusha zanzibar enzi hizo.....mashockshockmlishe kitimoto na bia.......
ukikimbia, kule utakakokimbilia unaenda kumkuta anakusubiri, ukirudi nyuma unamkuta, ukijifanya umedondoka chini umezirai ndo anakujakukushika kabisa...Kimbiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aiseee!!