Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,240
Labda niko tofauti,
lakini siwezi kuwa na msichana kwenye mahusiano ambaye
sijamfahamu kwa undani tena kwa mda mrefu.
Imani yake kwanza,historia yake (ni rahisi mimi kujua historia ya mtu maana
napenda kujenga mazingira ya kumfahamu background ya mtu na yeye kujua yangu).
so,kitu kama hiko hakiwezi kutokea.
hayo yapo kwenye maigizo ya ki-nigeria na kitanzania tu.
lakini siwezi kuwa na msichana kwenye mahusiano ambaye
sijamfahamu kwa undani tena kwa mda mrefu.
Imani yake kwanza,historia yake (ni rahisi mimi kujua historia ya mtu maana
napenda kujenga mazingira ya kumfahamu background ya mtu na yeye kujua yangu).
so,kitu kama hiko hakiwezi kutokea.
hayo yapo kwenye maigizo ya ki-nigeria na kitanzania tu.