Ukigundua unakaribia kuachwa huwa unachukua hatua gani?

Ukigundua unakaribia kuachwa huwa unachukua hatua gani?

Mwagilia moyo

20220425_202305.jpg
 
Mimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!

Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!

Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
 
Mimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!

Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!

Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
Wanaume tunaojielewa huwa tufanya hivyo mkuu,sio kugombana gombana na kutukanana Kama watoto wadogo
 
Back
Top Bottom