Albahi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2020
- 481
- 585
Duh jamani tena... Kwani kuachana ndo mwisho wa mawasiliano kati yetu!Akuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh jamani tena... Kwani kuachana ndo mwisho wa mawasiliano kati yetu!Akuuu
Kuachana kwangu ni vitaDuh jamani tena... Kwani kuachana ndo mwisho wa mawasiliano kati yetu!
Mh wewe, ah uko vizuri kuna opportunity ndogo sana kwa x kuja kupasha kiporo.Kuachana kwangu ni vita
Muoe tuKuna mmoja hapa nataka nimpige tukio naweza kukaa hata siku nne au tatu akipiga simu analia anachonikera kila siku ukiongea nae anataka ndoa tu yeye hana mada nyingine mimi bado nipo nipo naona ananichnganya tu.
Dah mkuu teknolojia hii sina, akiniacha ndo kaniacha hiyo there’s no going back, simu sipokei, zaidi ya salamu na kusaidia kwenye matatizo ya msingi kama njaa, vita na misiba hakuna kitu itaniweka meza moja na yeye.Mimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!
Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!
Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
Mimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!
Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!
Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
Tag location nilete barua ya posa. Vigezo na masharti kuzingatiwaKuachana kwangu ni vita
Hayo matatizo utayajuaje kama hupokei simu?Dah mkuu teknolojia hii sina, akiniacha ndo kaniacha hiyo there’s no going back, simu sipokei, zaidi ya salamu na kusaidia kwenye matatizo ya msingi kama njaa, vita na misiba hakuna kitu itaniweka meza moja na yeye.
Naandaa warembo wengine ili nikiachwa navuta mmoja kuziba pengo.Kuna msemo usemao dalili ya mawingu ni mvua.
Sasa hebu tuambiane ukweli, pale unapogundua kuna dalili za kuachwa mpenzi wako au kuchokwa -- huwa unachukua hatua gani?
Awachoki[emoji16][emoji16]Hivi bado mnalia na mapenzi vijana??
Mkuu fata ushauri wa huyu jamaa lasi hivyo utakuja kutembea uchi usipo angaliaMuwahi chap ,tafuta chombo nyingine ....akikiwahi umekwisha
Wambie huyo kijana na aelewe inauma sana mkuuNikigundua namwacha mimi kabla hajaniacha... Kuachwa kunauma aisee yani bora uache kuliko kuachwa.
Ni rahisi sana, akiwa na shida ataenda straight kwa meseji, hapo ndipo nitajua. Asipotuma kusema asee itakuwa imeisha