Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalili ya mawingu ni mvua ❎Kuna msemo usemao dalili ya mawingu ni mvua
Ila mapenzi bwana, unakuta mtu una wanawake hata watano, ila akikuacha mmoja unakosa hata raha na muzuka wa kuwa na hawa wengine wa nne.Hio chombo uwe unaifeel mkuu sio unaachana na mtu kila kukicha unamsumbua sumbua!
ExactlyMimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!
Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!
Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
Tunafanana,Mimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!
Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!
Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
Mwanamke akiwa anawaza kukuacha afu ukamuwahi, Huwa inamuuma Sana[emoji28]Daaa kuna binti mmoja alikusudia kunimwaga wakati wa kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa, bahati nikazinyaka taarifa, ivo fasta akala red card.
Ebu tujaribu huo mchezo uniache nami nikuache tuone inatokea nini.Duh watu tunatofautiana mimi bora niachwe nakuwa na amani ya moyo najiona sina hatia shida nikiacha nasikitika mno
Nikuache mara ngapi mkuu?Ebu tujaribu huo mchezo uniache nami nikuache tuone inatokea nini.
Nilikua nasubiri tu utamke ila me nilishakuacha zamani.Nikuache mara ngapi mkuu?
Asante dear exNilikua nasubiri tu utamke ila me nilishakuacha zamani.
Ukinimis usisite kunipigia hata cm et dear x.Asante dear ex
Katika vitu siwezi na siwazi ni hicho tupigiane simu ili iweje😬Ukinimis usisite kunipigia hata cm et dear x.
Vunga hata kukosea no tu jaman si tunaachana tu kikubwa.Katika vitu siwezi na siwazi ni hicho tupigiane simu ili iweje😬
AkuuuVunga hata kukosea no tu jaman si tunaachana tu kikubwa.