Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Muwahi chap ,tafuta chombo nyingine ....akikiwahi umekwishaKuna msemo usemao dalili ya mawingu ni mvua.
Sasa hebu tuambiane ukweli, pale unapogundua kuna dalili za kuachwa mpenzi wako au kuchokwa -- huwa unachukua hatua gani?
mwamba umepigwa na kitu chenye ncha kali kichwani, local Disk c ime corruptKuna msemo usemao dalili ya mawingu ni mvu
Wanaume tunaojielewa huwa tufanya hivyo mkuu,sio kugombana gombana na kutukanana Kama watoto wadogoMimi nikigundua hana nia ya kuendelea huwa simwambii kitu halafu naendelea na maisha yangu. Ndo basi imeisha!
Mwanamke haachwi' unampotezea tu akipiga simu naongea kama sitaki, akiomba hela sina!
Huwa inanisaidia kwa matumizi ya baadae.
Duh watu tunatofautiana mimi bora niachwe nakuwa na amani ya moyo najiona sina hatia shida nikiacha nasikitika mnoNikigundua namwacha mimi kabla hajaniacha... Kuachwa kunauma aisee yani bora uache kuliko kuachwa.
Hakuna kitu kinaumiza kama kubembelesa pensiUkiwa unampenda Utabembeleza. Ukiwa Humpendi Hata Haiumi
Hivi kumbe siku hizi mawingu nayo yana dalili!Kuna msemo usemao dalili ya mawingu ni mvua.
Sasa hebu tuambiane ukweli, pale unapogundua kuna dalili za kuachwa mpenzi wako au kuchokwa -- huwa unachukua hatua gani?
Hio chombo uwe unaifeel mkuu sio unaachana na mtu kila kukicha unamsumbua sumbua!Wewe introduce chombo mpya, umuache kabla yeye hajakuletea za kuleta.