SI KWELI Ukihisi harufu ya wali au mchele uwapo porini ni ishara kuwa Chatu yupo karibu

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wakuu habari za asubuhi!
Je uliwahi kunusa harufu ya wali/ubwabwa porini ambako hakuna hata dalili ya watu kuwahi kuishi?
Hii harufu huwa inatokana na nini hasa ?


USSR
 
Nyoka akijivua magamba yake, ile harufu hata ni mixer ya michele yote, wa mbeya, moro na kanda ya ziwa.
 
Mmeona mshana JR ,haonekani hapa na nyuzi zake mmeamua mmtafute kivingine
 
Back in de dayz secondary school.mimi na wanangu ilikuwa weekend tukasema tukatembee milimani.
Shule ilikuwa inje sana ya mji.tulipo anza kupanda milima (msituni).tukafka katikati,tukakuta mawe tukashauriana tupumzke kidogo kwani kigongo kimesimama balaa.

Pembeni ya yale mawe kulikuwa kama kuna shimo(kipango).
Baada ya dakika kadhaa tuna endelea kufurahia mandhari na story mbili tatu.ghafla kijiharufu kama cha wali kikaanza kuvuma tena kwa wingi.

Kumbe kila mtu ameanza kukipatapata ila tunavunga.kwani wengine wanaimani kuwa hapo kuna majini.

Kunamwanangu mmoja akafyatuka ghafla kama risasi.wote tungaunga kushuka kwenye ule mlima.tulitelemka kama tuko tambalale.kila mmoja anataka kuwa wa kwanza kumbuka huo mloma umezungukwa na msitu mzito kwaiyo unavyo achwa nyuma unajihisi ww ndio sadaka.

Baada ya mbio ndefu tulafka kwenye uwanda wa nyasi ndipo tukafunga break.tukaanza kumuhoji alichomoka yule wa kwanza"vip unakimbia nn.akasema kwani nyie hamjui.
Akasema hamkusikia harufu ya wali basi πŸ˜ƒ πŸ˜€ πŸ˜„ kila mtu akaanza kufunguka aah niliskia ila nikawana naogopa kusema.
 
Mimi nitatembea na maharage nazi ili nipate wali maharage ya nazi. Gharama za maisha itapungua
 
Mimi kwa ufahamu wangu mdogo najua kuna mnyama flan hiv yuko kama paka(paka pori) ndio ukojoa mkojo wenye harufu hiyo kama wali hvii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…