Kitu pekee ninachoweza kushauri watu katika hili:
1. Lazima ujifunze kutambua business location kabla ya ku inject money.
2. Kama pesa umekopa, make sure marejesho ya hiyo pesa haitegemei ustawi wa biashara yako mpya
3. Persistence, hili ni muhimu sana. Wabongo wengi tunafanya biashara kwa hearsay, fremu A leo utaona ni salon, six months later, fremu A utakuta ni duka la nguo za watoto, 9 months later , fremu hiyo hiyo utakuta imekuwa Restaurant.... yaani unaona kabisa hawa watu waliokuwa wanapita humo hawakuwa na long term business strategy and probably walikurupuka na nje ya mategemeo wakajiona kuwa kumbe ni ndoto.
Muhindi akichukua Fremu , basi anakuwa amefanya research ya long term na short term .... na utamkuta hapo hata baada ya miaka 10 na wajukuu zake pia watakuwepo. Na itafika mahali watu wanatoka mbali kuja hapo kupata huduma.
Kwa Experience yangu , a business unatakiwa kuanza kuijudge baada ya miaka 2 yaani 24 months , ndani ya kipindi hicho utakuwa pia wateja wauhakika that is wanakuja hapo kwa ajili yako na service zako.
Sasa wabongo anataka kuijudge biashara baada ya miezi 2, unapotea.
4. Jua mtu wa kumuweka kwenye biashara yako. Hili watu wanalipuuza. Some people hawana mvuto wa kukaa dukani nikiwa na maana kuwa they are irritable na hawana convincing kwa mteja. Unaweza ukaona hakuna biashara kumbe uliyemuweka au wewe Mwenyewe uliyekaa hapo dukani hufai kukaa dukani , huna mvuto kwa wateja or unachukiza Tu jinsi unavowasiliana na wateja hata kama huwajibu hovyo, I mean you are not presentable to customers.
5. Kama Una means , anzisha biashara kwa pesa yako , baada ya miezi kadhaa ya kuona movement na challenge na fast moving items, ndiyo ukakope bank purposely based on the weaknesses you have noticed kwa kipindi husika.
6. All in all biashara ni risk taking , usiogope ku fail , kufail ndiyo kupata Experience Na itakusaidia snaa kwa baadae.
Halafu haya maisha usichukulie SERIOUS sana; end of the day we all gonna die ... and leave everything. So we jaribu unapoweza, ukifeli jifunze, lianzishe tena songa mbele , it is just a game , play it and don’t take it too serious.... kupitia game hiyo , utakuja Tu kupata majibu ya maswali yako na utatoboa.
Keep playing the game , never stop eti kwa kuwa umefeli game ya kwanza.