Ukiitegemea biashara yako mpya ikulishe, ikulipie kodi ya nyumba na kadhalika, jiandae kuanguka

Ukiitegemea biashara yako mpya ikulishe, ikulipie kodi ya nyumba na kadhalika, jiandae kuanguka

Jamaa yuko sahihi,tatizo asilimia kubwa ya wakazi wa huu mkoa ni wa kipato cha chini na cha kati kwahiyo inategemea ulikuwa unawauzia nini labda hazikuwa bidhaa sahihi kwao
Ni muhimu pia kuangalia kipato cha watu.

Huwezi kufungua duka la jumla maeneo ya uswahilini huko,lazima uangukie pua.

Uswahilini fungua reja reja ili watu waweze kununua kidogokidogo.

Inawezekana bidhaa kweli watu wa mtaa huo wanihitaji lakini tatizo unauza jumla,humpati mtu watu wataenda kwenye reja reja
 
Wivu unachakaza sura!! heee!! mpaka mwandiko utakoma nakwambia Yaani mpaka Yesu arudi, utakuwa na ukurutu wenzako sie tunaimba haleluya tu haooooooooooooooo....
km unaweza tubu hapa hapa tukuone tu
Kweli mke wangu na huo ukurutu nitakua naukwangua nakuchanganyia na kimba kibichi nakulisha unenepa mtoto mzuri.
 
Hawaogopi [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]?[emoji849][emoji849][emoji849]
Watu hawaogopi siku hizi. Wengine wanajisemea kuliko kutumia ndom bora ajikabidhi CHAPUTA kwa muda.
Kavu ina raha yake jamani! Sema utakapoona mawenge ya ARV ndio utakapojua hujui.
 
Watu hawaogopi siku hizi. Wengine wanajisemea kuliko kutumia ndom bora ajikabidhi CHAPUTA kwa muda.
Kavu ina raha yake jamani! Sema utakapoona mawenge ya ARV ndio utakapojua hujui.
Ile kitu ni baraaa
 
Watu hawaogopi siku hizi. Wengine wanajisemea kuliko kutumia ndom bora ajikabidhi CHAPUTA kwa muda.
Kavu ina raha yake jamani! Sema utakapoona mawenge ya ARV ndio utakapojua hujui.
Hivi ARV zina wenge sana mkuu?

Mbona wanywaji wanasemaga hazina issue[emoji848]
 
Hivi ARV zina wenge sana mkuu?

Mbona wanywaji wanasemaga hazina issue[emoji848]
Mimi nimewahi kunywa PEP nilitembeaga na malaya mkali kavukavu bila kujua kama ni malaya.
Wenge la PEP nasikia na ARV ni hivyo hivyo unapoanza.
Japo mimi nilitumiaga siku 30 but sitakuja kusahau wenge lake.
 
Vya mtumba au special??
Nina biashara ndogo tofauti tofauti kote kuna changamoto lakini angalau biashara ya viatu inalipa, mimi nachanganya mtumba na special ila mtumba ndio unaenda sana, nazungumizia mtumba grade 1, weekend hii liyopita nimechukua mzigo dar nikachanganya na pull meck maana ni maeneo yenye baridi hasa, mzigo ukafunguliwa pale dukani jumanne, ndani ya siku tatu(mpk alhamis) namuuliza muuzaji kaachia pea 70, na pull neck zikawa tayari zimeisha mpk nikajuta kuchukua chache..

Najua moja ya sababu za kuuza kwa haraka ni kua kuna watu wengi walishaweka oda hivyo walikua wanasubiri tuu, ila si kwamba kila siku mambo yanaenda hivyo, inaweza pita hata siku mbili sijauza chochote au uuze pea moja kwa siku, kwa ufupi ni mauzo ambayo kipindi kingine inanichukua mwezi na zaidi kuyafikia, kwahio kushuka au kupanda kwa mauzo ni ka upepo tuu, kikubwa jipe mda pale kabla hujaanza kuhukumu biashara, nakushauri usiwaze kufunga hio biashara mapema, hata mimi nilipitia hapo, na bado kuna siku haziendi vizuri ila najipa mda.

Hili la kutegemea hio biashara ndio ikupe kila kitu ndio kulinifanya nirudishe mpira kwa kipa kwanza, nikamwambia mfanyakazi afunge kwanza sitaweza kumlipa, Kwa kweli kitu ambacho sikuamini Mwenyewe kwa Hiari yake Akasema hapana atauza bila malipo maana anaona kweli ndani hamna kitu ila tukifunga kabisa ndio tutapoteza wateja na pia fursa itaenda na mwingine, aliuza 2 months bila mshahara, mimi ndio nikawa najiongeza kwa uungwana alioonesha, mpk nikaleta mzigo.
Da huyo mfanyakazi wako mshikilie sana,ni mtu mwenye akili ya biashara na maisha
 
Kuna jirani yangu yeye alifungua mini-supermarket daily anatupa vitu vilivyooza/haribika hajawahi kuuza hata mkate 1pc. Kweli biashara hizi tuwaachie Wapemba/wahindi/waarabu sisi waswahili tuendelee kupiga domo Kama Msemaji (aliyetimuliwa)

Kauli yako Sio njema Na kama unafamilia basi wewe utakuwa ni baba au mama wa hovyo kuwahi kutokea.
 
Kitu pekee ninachoweza kushauri watu katika hili:
1. Lazima ujifunze kutambua business location kabla ya ku inject money.
2. Kama pesa umekopa, make sure marejesho ya hiyo pesa haitegemei ustawi wa biashara yako mpya

3. Persistence, hili ni muhimu sana. Wabongo wengi tunafanya biashara kwa hearsay, fremu A leo utaona ni salon, six months later, fremu A utakuta ni duka la nguo za watoto, 9 months later , fremu hiyo hiyo utakuta imekuwa Restaurant.... yaani unaona kabisa hawa watu waliokuwa wanapita humo hawakuwa na long term business strategy and probably walikurupuka na nje ya mategemeo wakajiona kuwa kumbe ni ndoto.

Muhindi akichukua Fremu , basi anakuwa amefanya research ya long term na short term .... na utamkuta hapo hata baada ya miaka 10 na wajukuu zake pia watakuwepo. Na itafika mahali watu wanatoka mbali kuja hapo kupata huduma.

Kwa Experience yangu , a business unatakiwa kuanza kuijudge baada ya miaka 2 yaani 24 months , ndani ya kipindi hicho utakuwa pia wateja wauhakika that is wanakuja hapo kwa ajili yako na service zako.

Sasa wabongo anataka kuijudge biashara baada ya miezi 2, unapotea.

4. Jua mtu wa kumuweka kwenye biashara yako. Hili watu wanalipuuza. Some people hawana mvuto wa kukaa dukani nikiwa na maana kuwa they are irritable na hawana convincing kwa mteja. Unaweza ukaona hakuna biashara kumbe uliyemuweka au wewe Mwenyewe uliyekaa hapo dukani hufai kukaa dukani , huna mvuto kwa wateja or unachukiza Tu jinsi unavowasiliana na wateja hata kama huwajibu hovyo, I mean you are not presentable to customers.

5. Kama Una means , anzisha biashara kwa pesa yako , baada ya miezi kadhaa ya kuona movement na challenge na fast moving items, ndiyo ukakope bank purposely based on the weaknesses you have noticed kwa kipindi husika.

6. All in all biashara ni risk taking , usiogope ku fail , kufail ndiyo kupata Experience Na itakusaidia snaa kwa baadae.

Halafu haya maisha usichukulie SERIOUS sana; end of the day we all gonna die ... and leave everything. So we jaribu unapoweza, ukifeli jifunze, lianzishe tena songa mbele , it is just a game , play it and don’t take it too serious.... kupitia game hiyo , utakuja Tu kupata majibu ya maswali yako na utatoboa.

Keep playing the game , never stop eti kwa kuwa umefeli game ya kwanza.
 
Labda, ila mimi kwa kunywa kwangu nilikuja kuzizoea siku za mwishoni. We dawa gani utaizoea unakuwa kama umelewa na ndoto za ajabu!
Asee hilo ni balaaa na nusu[emoji848]
 
Suala la msingi kwenye biashara yoyote mpya ni utafiti- hasa kwenye suala la mtaji sahihi wa biashara unayokusudia- biashara nyingi zinakuwa ngumu- kwa sababu ya mtaji kuwa mdogo- kwa hiyo mzunguko unakuwa mgumu- biashara ni mzunguko- ununue- uuze- ununue tena- uuze- Ile faida ijazie mtaji- kwenye starting phase- hutakiwi kula faida kabisa- angalau kwenye growth unaweza kula kwa tahadhali kubwa- ukifika maturity- hapo unajiachia- Mara nyingi starting phase ni mwaka mzima- na growth ni zaidi ya miaka miwili-ukiweza kutenga pesa ya Kodi ya frem ya mwaka unaofata- pamoja na pesa yako ya matumizi ya mwaka mzima bila kuathiri mtaji- na ukawasiliana na supernatural power wako-na location nzuri- biashara ikigoma- basi haikuwa ridhiki





-
 
Back
Top Bottom