Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza bei za bidhaa zako.Nimefungua fremu ya viatu vya watoto na wanawake siku 8 sijauza hata pair 1,frame laki 2x 6 months!! Naona nyotanyota! Mzigo (gharama)1.5m, leseni+bills (bado sijapigia hesabu). Halafu utashangaa TRA sijui manispaa na ving'ora.
PoaPunguza bei za bidhaa zako.
Kama huraweza karibu kwenye kagoli kangu.Ulishawahi kufanya?
Nilikuaga napika msosi mwenyeqe nikiwa dom nikawa nasambaza ikanisaidia kulipa ada ya kumaliza masomo maana nilisitisha mwaka mmoja baada ya mambo kua tight. Biashara ya chakula inahitaji usimamizi wa hali ya juu, uwe jikoni mwemyewe ukiachia tu hawa wadada kwisha habar yako, wanaeza enda chukua order akapendwa huko akaliwa akarudi saa tisa hahahaha na huna cha kumfanya unamlipa 4000 kwa siku 7yrs ago kashaliwa kwa 10000 hyo 4000 yako haina thamani kwake kwa siku hyo. Ina changamoto ila ina pesaWewe ndo uko ubongoni mwangu... hili ndo wazo linanitafuna kichwa now[emoji848]
Pole mkuu, kabla ya kufungua ulifanya savie kidogo kuhusu biashara unayotaka kufanya kwa kuomba ushauri kwa wazoefu na mazingira ya biashara unayotaka kuweka biashara yako , mazingira hua ni muhimu sana mkuu, ukikaa mazingira sahihi huwezi kaa siku zote hizo bila kuuzaNimefungua fremu ya viatu vya watoto na wanawake siku 8 sijauza hata pair 1,frame laki 2x 6 months!! Naona nyotanyota! Mzigo (gharama)1.5m, leseni+bills (bado sijapigia hesabu). Halafu utashangaa TRA sijui manispaa na ving'ora.
Utafiti unafanyikaje mkuu,Ni swala la kujifunza tu mkuu la sivyo hawa jamaa wataendelea kumonopolize uchumi na sisi kubaki tunalia lia tu bila kuwa uchumi stable.
Kabla ya kufungua biashara eneo lolote lile lazima ufanye tafiti ya uhitaji wa eneo husika.
Kuna migawa minne naijua mmoja mkubwa wenye wahudumu wavaa sare migahawa mitatu ya kienyeji yote ndani ya miezi nane ilikufa mingine haikufikisha hata miezi 6Mkuu biashara ya kutoka kirahisi kwa mtu usiekuwa mtaalamu saaaana wa biashara Ni chakula.
Fanya research kwa eneo zuri la kuweka kijiofisi chako ( breakfast , lunch na chakula cha jion kwa mabachelor). Utanishukuru hapa.
Milion 2 kwa kuanzisha kijieneo Cha chakula inatosha.
Huwez kukosa 30,000 mpaka 50,000 kwa siku Kama faida Kama unauza kuanzia asubuhi Hadi usiku.
Wewe unatubishia watu tumewahi kuhustle kwenye huo mkoa wewe unaleta kizungu cha kwenye makaratasiHata wote wakiwa wafanya biashara, hapawezi kukosa kuwa na wanunuaji, hawahawa wafanyabiashara ndio wanunuaji, kwani hawauzi bidhaa zinazofanana (differentiated products)
Inategemea na biashara, Kama una uzoefu wa biashara then ukafanya utafiti wa kutosha ukawekeza mtaji wa kutosha let's say mil 100 hiyo biashara utaweza kuitegemea % 100Hii ni kwa experience yako Au general!?
Kwangu imefanya kazi
It goes well so far.
Frame paid in advance
kama lengo lako limesimama
Na unajua unachotaka
Izo ulizotaja ni simple challenges.
(mtazamo wangu)
Hizo remix sasa ulimjuaje bwanawee!! aahaa!!! wewe ni moja wao waleeee!! wanaoona wivu!!Muongo muongo huyo kila thread ya biashara hua anatunga stoty ya hivyo.
Hujakosea naona wivu kula Bata mpk kuku anaona wivu.Hizo remix sasa ulimjuaje bwanawee!! aahaa!!! wewe ni moja wao waleeee!! wanaoona wivu!!
Wivu unachakaza sura!! heee!! mpaka mwandiko utakoma nakwambia Yaani mpaka Yesu arudi, utakuwa na ukurutu wenzako sie tunaimba haleluya tu haooooooooooooooo....Hujakosea naona wivu kula Bata mpk kuku anaona wivu.
I appreciate for what you have done.Habari wakuu,
Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,
Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.
Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulinzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,
Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,
ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,
ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baada ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahili wanasema mwenye nacho huongezewa
Hii ndio sababu inayopelekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Dar. Karibu sanaUko mkoa gani Boss?
Jamaa yuko sahihi,tatizo asilimia kubwa ya wakazi wa huu mkoa ni wa kipato cha chini na cha kati kwahiyo inategemea ulikuwa unawauzia nini labda hazikuwa bidhaa sahihi kwaoWewe unatubishia watu tumewahi kuhustle kwenye huo mkoa wewe unaleta kizungu cha kwenye makaratasi