Ukiitegemea biashara yako mpya ikulishe, ikulipie kodi ya nyumba na kadhalika, jiandae kuanguka

Ukiitegemea biashara yako mpya ikulishe, ikulipie kodi ya nyumba na kadhalika, jiandae kuanguka

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimecheka kama mazuri.

Ulifanya research ya soko, wateja na eneo ulilofungulia biashara kabla? Either way, usikate tamaa ndo kwaaanza safari imeanza.
Kuna jirani yangu yeye alifungua mini-supermarket daily anatupa vitu vilivyooza/haribika hajawahi kuuza hata mkate 1pc. Kweli biashara hizi tuwaachie Wapemba/wahindi/waarabu sisi waswahili tuendelee kupiga domo Kama Msemaji (aliyetimuliwa)
 
Habari wakuu,

Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,

Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.

Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulimzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,

Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,

ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,

ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baads ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahi wanasema mwenye nacho huongezewa

Hii ndio sababu inayoperekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Upo sahihi lakini pia Kama huna kazi unaweza ukawa na biashara zaidi ya moja, haziwezi kukutupa zote cha msingi usiwe na shughuli moja.
 
Habari wakuu,

Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,

Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.

Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulimzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,

Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,

ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,

ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baads ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahi wanasema mwenye nacho huongezewa

Hii ndio sababu inayoperekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Umeongea ukweli kabisa
 
Habari wakuu,

Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara,

Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna uelewa wa kutosha, maarifa tunayoyapata kwa kuulizia ulizia kwa watu, mtandaoni au kwa ndugu na marafiki huwa hayajitoshelezi, hili jambo ni hatari sana.

Unakuta mtu ameanzisha biashara yake mpya hapo hapo anaitegemea imlipie kodi ya fremu, umeme, TRA, taka, ulimzi, kodi ya anakoishi, maji, chakula, vocha, usafiri n.k,

Ukiona upo kwenye hali kama hiyo jua moja kwa moja ushaanguka, siku si nyingi utafilisika au kuanza kuhisi unachawiwa kumbe tatizo niwewe mwenyewe,

ukitaka kuanzisha biashara hakikisha una kazi (ajira), kipato kingine cha ziada cha kukulisha, kukuvisha, kukulipia kodi ya nyumba, vocha n.k hapo utatoboa mapema tu ndani ya miezi hata 9 au 10,

ila ukianzisha biashara wakati unanjaa, au umepigika ndugu wamekuchangia mtaji wa milioni 3 au umekusanya pesa ukaacha kazi, au umefungua biashara kwa pesa za pensheni baads ya kustaafu tegemea anguko, kufirisika kuhama mtaa au kurudi nyumbani kwenu. Ndio maana waswahi wanasema mwenye nacho huongezewa

Hii ndio sababu inayoperekea biashara nyingi mpya kufa haraka hata bila kumaliza miezi 8 au mwaka,
NB: USIANZISHE BIASHARA WAKATI UKIWA NA NJAA. Akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Nawasilisha
Hii ni kwa experience yako Au general!?
Kwangu imefanya kazi
It goes well so far.
Frame paid in advance

kama lengo lako limesimama
Na unajua unachotaka
Izo ulizotaja ni simple challenges.

(mtazamo wangu)
 
Kuna jirani yangu yeye alifungua mini-supermarket daily anatupa vitu vilivyooza/haribika hajawahi kuuza hata mkate 1pc. Kweli biashara hizi tuwaachie Wapemba/wahindi/waarabu sisi waswahili tuendelee kupiga domo Kama Msemaji (aliyetimuliwa)
Ni swala la kujifunza tu mkuu la sivyo hawa jamaa wataendelea kumonopolize uchumi na sisi kubaki tunalia lia tu bila kuwa uchumi stable.

Kabla ya kufungua biashara eneo lolote lile lazima ufanye tafiti ya uhitaji wa eneo husika.
 
Nilikua nafanya biashara kama yako mkoani Morogoro,sikua na frame nilikua nauzia minadani,minada ya pale Moro town tu, ila bado ilinikata.

Tatizo kubwa lilikua kama alivyoeleza Dube hapo juu,yani pesa hiyo hiyo nile,nilipe kodi,maji,umeme,bia,n.k.
Nikafunga vilago kwenda mkoa mwingine kuzisaka.
Nlitaka kumwambia hivi hivi ajitose mnadani, biashara za frem siku hizi ni changamoto, inabid uwe sehemu yenye watu sana la sivyo utamtafuta mchawi.
 
Nlitaka kumwambia hivi hivi ajitose mnadani, biashara za frem siku hizi ni changamoto, inabid uwe sehemu yenye watu sana lacvo utamtafuta mchawi.
Uko sahihi! Ajichanganye minadani, hiyo laki mbili yake ya kodi per month afanyie mambo mengine tu.
 
Back
Top Bottom