witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
We unawaona hao ni wanadamu wa kawaida?Ivi wale ninaowaonaga kwa mzee wa upako wakisema, " miezi mitatu uliyopita nilikuja hapa sina kitu, ila sasa nini nyumba 3, na harrier nimepaki nje" wanawezaje?
Make hakunaga hata mmoja anayetuambia kapataje,kama alidanga, kaiba au kapiga dili sehemu.