Maggie_999
New Member
- May 6, 2024
- 1
- 1
Habari wadau, nilikuwa nahitaji kufahamu.. Ikiwa umeitwa kwenye interview ya written Utumishi, na cheti cha kuzaliwa kimepotea ila una copy yake iliyokua certified na mwanasheria.
Je, napaswa nifanye nini?
Je, napaswa nifanye nini?