Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuku ni mnyama wa jamii ya ndege.kuku siyo mnyama
Kuku siyo mnyama; ni ndege!
najua ila ntafuga kukukuku siyo mnyama
KengeSalaam wakulima na wafugaji
Kichwa cha uzi cha husika
Karibu tutiririke [emoji846]
SamakiSalaam wakulima na wafugaji
Kichwa cha uzi cha husika
Karibu tutiririke [emoji846]
Kutembea nae ndio huwezi ila kwa kumfuga unaruhusiwa kabisa na wapo wanaofuga tena wazee wa kijijiniNatamani mamba anagekuwa anaruhusiwa kufugwa ningefanya juu chini niwe namfuga, namfunga na manyororo shingoni niwe natembea nae mtaani kwangu 😌
Si kila mtu anachagua anachotaka ama 😄Wa nini tena
Kweli hongeraSi kila mtu anachagua anachotaka ama 😄
Tanga wapo watu wanafuga nyoka wa kila aina wakiwemo na kobokoKweli hongera
kutembea nae haiwezekani kwa sababu ya sheria au hawezi kunizoea? hao wanaofuga ni kwa vibali?Kutembea nae ndio huwezi ila kwa kumfuga unaruhusiwa kabisa na wapo wanaofuga tena wazee wa kijijini
Kukuzoea anaweza sana na kuwa rafiki pia ingawa hawa viumbe hawatabirikikutembea nae haiwezekani kwa sababu ya sheria au hawezi kunizoea? hao wanaofuga ni kwa vibali?
Kilo 60 Kwa mlo hahah hapo kweli mtihani ingefika siku tungeshindwanaKukuzoea anaweza sana na kuwa rafiki pia ingawa hawa viumbe hawatabiriki
Kuna mzee mmoja anamfuga na anae nyumbani kwake ni mkubwa
Ila kumfuga fikiria pia mlo wake maana akikua anakula mpaka kilo 60 kwa mlo
Utaweza kumlisha au utawinda swala kila leo
Ethiopia kuna mji unaitwa Harar wananchi wanawalisha nyama Fisi yaani ndio umekuwa utamaduni wao tangu mwaka 1960 mpaka leo
View attachment 2947567
Kiswahili kina maneno machache, nimeona huyo mtu ameandika kuku ni ndege sio mnyama ila kiuhalisia kuku nae ni mnyama.Kuku ni mnyama wa jamii ya ndege.