Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida inaonyesha ni kuwa hajakushirikisha katika mikakati ya maisha na mtihani ndipo unaanzia hapo.....Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae??
Kwa kuwa ni kweli ujenz hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Mkuu nisaidie kuelewa huu uzi. Naona mazigazi tu
Ukishahamia kwako ndo utaelewa...komaa na dagaa,5 again😁Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae??
Kwa kuwa ni kweli ujenz hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Ninaomba uniazime huyo mume mwaka mmoja tu nitamrudisha. Kwenye miti hakuna wajenzi.
Hongera tumejua mnajenga.Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae??
Kwa kuwa ni kweli ujenz hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Ndio mimi hapa. Njoo inbox [emoji3059]Ninaomba uniazime huyo mume mwaka mmoja tu nitamrudisha. Kwenye miti hakuna wajenzi.
Wewe li mwanamke ni hasara kabisa! Ukipata la hivi ni la kula ogiT hili maana halina akili!Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Huu uzi ukiuangalia haraka haraka utaudharau.Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
na ukope subaru yako sio?Mi acha nipange tu nyumba kali, kodi robo ya mshahara lakini nienjoy, maisha ndio haya haya
Jenga yako kwa stareheEti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo