Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Wanaume sometime tunaoa vituko....What a SHAME wife!!Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Hapana dada niachie mimi namtakaNinaomba uniazime huyo mume mwaka mmoja tu nitamrudisha. Kwenye miti hakuna wajenzi.
Anaandika kama ana halisha.
wanawake wajeuri ni kama weweEti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Kwa mtu anaeanza kufanya biashara/ujasiriamali comment hii itakusaidia sana kujijenga. Sio nyumba tu hata gari nunua ya kawaida sana.2.Wafanyabiashara:
Hawa nyumba za kuishi siyo option ya kwanza.
Hawa wanafungua fursa kila uchao ili kupanua wigo wa kujiongezea faida.
Nyumba ya kulala kwa watu wa namna hii inaweza kuwa au ya kupanga na au ndogo na ya kawaida sana.
Mfanyabiashara anayejitambua atajenga nyumba ya kuishi isiyoathiri kabisa mitaji yake na au akijenga nyumba ya ndoto yake basi inaweza kutokea akiwa na umri mkubwa-Say 50 and above au baada ya kuwa na mitaji mikubwa na himilivu.
Amejenga kijumba, mbona unaonekana unadharau sana, mume wako anawatafutia mahala pakuwahifadhi wewe unasema kijumbaEti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
Naona unaongea kwa code kumsema bwana yule,wachache tumekuelewa wengi umewapoteza maboya....umetisha kwa fasihiEti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, Je anatesaje wanae?
Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo