establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Wanachuo na Korona hii ndo wamechachamaaGolddiggers!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachuo na Korona hii ndo wamechachamaaGolddiggers!!
Na amekaimu nafasi yake kama ulivyo adaBoss naona umerudi!
Karibu sana.
Hii ni nadharia mfuKwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye?
Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao mahusiano ujuwe wazi upo kwenye tabu ukilingamisha na raha atakayokupatia pindi unapomhitaji. Ukiwa na rafiki wa kike asiye na kazi, au anakazi yenye kipato kidogo, au awe mwanachuo na wengine ambao hawana kipato cha uhakika basi ujue umejiingiza kwenye tabu na shida ambayo haina sababu na tabu hiyo inaweza kukusumbua kwa muda mrefu kama hutachukuwa maamuzi magumu.
Tabu na usumbufu mdogomdogo utakaokutana nao ni kama Mizinga maarufu ambayo hutaikwepa ya masafa mafupi na mirefu, kama kuombwa hela/kifurushi, hela ya nauli, hela ya hospital, kuombwa hela ya ped, kuombwa umuongozee kodi, boom limeisha na pengine hata kodi, kusaidia kuchangia harusi ya ndugu yake/rafiki yake, kukumbushwa siku yake ya kuzaliwa nk.
Ukiona unaingia gharama hizi na nyingine za aina hii ujue umekwisha, Mwanaume makinii lazima uwe na standard za mahusiano (sio kila msichana) maana bila hivyo utapoteza muda wako, pesa na heshima yako kwenye mahusiano na jamii. Mahusiano yenye kufuata nadharia ya mshumaa huwa hayana faida kwa mwanaume bali kwa yule anayemulikiwa. Mwanaume akijua standard yake anaweza kuepuka kuingia kwenye uhusiano wa kijinga unaomnyonya.
Bahati ya wanawake wote wenye maudhi na madhaifu kama hayo; huwa wako vizuri saana kunako 6×6.Kwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye?
Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao mahusiano ujuwe wazi upo kwenye tabu ukilingamisha na raha atakayokupatia pindi unapomhitaji. Ukiwa na rafiki wa kike asiye na kazi, au anakazi yenye kipato kidogo, au awe mwanachuo na wengine ambao hawana kipato cha uhakika basi ujue umejiingiza kwenye tabu na shida ambayo haina sababu na tabu hiyo inaweza kukusumbua kwa muda mrefu kama hutachukuwa maamuzi magumu.
Tabu na usumbufu mdogomdogo utakaokutana nao ni kama Mizinga maarufu ambayo hutaikwepa ya masafa mafupi na mirefu, kama kuombwa hela/kifurushi, hela ya nauli, hela ya hospital, kuombwa hela ya ped, kuombwa umuongozee kodi, boom limeisha na pengine hata kodi, kusaidia kuchangia harusi ya ndugu yake/rafiki yake, kukumbushwa siku yake ya kuzaliwa nk.
Ukiona unaingia gharama hizi na nyingine za aina hii ujue umekwisha, Mwanaume makinii lazima uwe na standard za mahusiano (sio kila msichana) maana bila hivyo utapoteza muda wako, pesa na heshima yako kwenye mahusiano na jamii. Mahusiano yenye kufuata nadharia ya mshumaa huwa hayana faida kwa mwanaume bali kwa yule anayemulikiwa. Mwanaume akijua standard yake anaweza kuepuka kuingia kwenye uhusiano wa kijinga unaomnyonya.
Hakuna formula hapo, wenye kipato.kikubwa mizinga yao ni mara kumi ya hao pangupakavu tia mchuzi. Inategemea na malezi ya bint.Kwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye?
Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao mahusiano ujuwe wazi upo kwenye tabu ukilingamisha na raha atakayokupatia pindi unapomhitaji. Ukiwa na rafiki wa kike asiye na kazi, au anakazi yenye kipato kidogo, au awe mwanachuo na wengine ambao hawana kipato cha uhakika basi ujue umejiingiza kwenye tabu na shida ambayo haina sababu na tabu hiyo inaweza kukusumbua kwa muda mrefu kama hutachukuwa maamuzi magumu.
Tabu na usumbufu mdogomdogo utakaokutana nao ni kama Mizinga maarufu ambayo hutaikwepa ya masafa mafupi na mirefu, kama kuombwa hela/kifurushi, hela ya nauli, hela ya hospital, kuombwa hela ya ped, kuombwa umuongozee kodi, boom limeisha na pengine hata kodi, kusaidia kuchangia harusi ya ndugu yake/rafiki yake, kukumbushwa siku yake ya kuzaliwa nk.
Ukiona unaingia gharama hizi na nyingine za aina hii ujue umekwisha, Mwanaume makinii lazima uwe na standard za mahusiano (sio kila msichana) maana bila hivyo utapoteza muda wako, pesa na heshima yako kwenye mahusiano na jamii. Mahusiano yenye kufuata nadharia ya mshumaa huwa hayana faida kwa mwanaume bali kwa yule anayemulikiwa. Mwanaume akijua standard yake anaweza kuepuka kuingia kwenye uhusiano wa kijinga unaomnyonya.
Sasa unajihusisha na watoto wa chuo hutaki mizinga unataka nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Ila binafsi napendaga Sana dadaz wa hivi najua nkicharara anarara mbere
Hata kuchagua ni Kupanga pia
Me: Looks like i don’t belong here!"Baby sina pedi"
"My wangu sijala"
"Hani nitumie vocha ya airtel na halotel"
"Nina hamu na Chips"
Me:[emoji848][emoji848][emoji848]
Heheheh kama hadi hela ya hivyo unataka upewe na kidume you must be in a very serious situation!Binafs siwez kuw na mahisiano na mtu hata HELA YA PEDI hana... Au vocha hana.. never