GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Children in the Street
2. Don't Cry
3. Feel Alright
4. House of Exile
5. Love Me the way I am
6. Mama Africa
7. Peace Perfect Peace
8. Prison
9. Puppet Master
10. Reap what you Sow
11. Reggae everywhere
12. Soul Taker
13. The way it is
14. I have got you Baby
Ukizisikiliza hizi Nyimbo zangu pendwa na tajwa hapa za Marehemu Luck Dube halafu ukawa bado una Usununu ( Uchungu ) wa Maisha Magumu uliyonayo na unayoyapitia basi jua kuwa Wewe hata Mbinguni hutoenda.
Jitahidi uwe Unazisikiliza mara kwa mara utaona Maisha yako ni ya kawaida, utayazoea na kuwa ni mwenye Amani, Furaha na Afya Njema hata kama huna hata Buku Moja mfukoni kama Masikini aliyetukuka GENTAMYCINE.
Mtakaosikiliza hii ( hiyo ) Playlist yangu ya Mwamba ( Mngwena ) Lucky Dube nitaomba mnipe Mirejesho yenu tafadhali kwani Ukizisikiliza hutokumbuka kama kuna Mgawo wa Maji na Hujooga, kuna Mgawo wa Umeme na hujaangalia Habari ITV au Azam Tv Leo, hutokumbuka Ajali ya Ndege ya hivi majuzi huko Bukoba iliyovutwa na Kamba ya Katani na wala hutokwazika na Tozo za Miamala ya Simu pamoja na Ukame ulioko nchini wakati kwa Vyanzo vyote vya Mvua ( Maji ) tumeviharibu kwa Upan'gang'a ( Upumbavu ) Wetu.
2. Don't Cry
3. Feel Alright
4. House of Exile
5. Love Me the way I am
6. Mama Africa
7. Peace Perfect Peace
8. Prison
9. Puppet Master
10. Reap what you Sow
11. Reggae everywhere
12. Soul Taker
13. The way it is
14. I have got you Baby
Ukizisikiliza hizi Nyimbo zangu pendwa na tajwa hapa za Marehemu Luck Dube halafu ukawa bado una Usununu ( Uchungu ) wa Maisha Magumu uliyonayo na unayoyapitia basi jua kuwa Wewe hata Mbinguni hutoenda.
Jitahidi uwe Unazisikiliza mara kwa mara utaona Maisha yako ni ya kawaida, utayazoea na kuwa ni mwenye Amani, Furaha na Afya Njema hata kama huna hata Buku Moja mfukoni kama Masikini aliyetukuka GENTAMYCINE.
Mtakaosikiliza hii ( hiyo ) Playlist yangu ya Mwamba ( Mngwena ) Lucky Dube nitaomba mnipe Mirejesho yenu tafadhali kwani Ukizisikiliza hutokumbuka kama kuna Mgawo wa Maji na Hujooga, kuna Mgawo wa Umeme na hujaangalia Habari ITV au Azam Tv Leo, hutokumbuka Ajali ya Ndege ya hivi majuzi huko Bukoba iliyovutwa na Kamba ya Katani na wala hutokwazika na Tozo za Miamala ya Simu pamoja na Ukame ulioko nchini wakati kwa Vyanzo vyote vya Mvua ( Maji ) tumeviharibu kwa Upan'gang'a ( Upumbavu ) Wetu.